Niulize swali ili nijipime kiakili (IQ Test)

Niulize swali ili nijipime kiakili (IQ Test)

Wow
1) Je Zile stories zako za kuchakata papuchi sana ni za kweli ama ni kuchangamsha genge tu?

2) Ni kweli unamiliki biashara ya chips?, ni kwa mda gani sasa?, je hiyo biashara ndyo unayoitegemea kukuendesha kimaisha mfano kupay bills,mavazi etc,au una other sources of incomes?, ushauri wowote kwa vijana tunaotaka kuanzisha biashara kama hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1) Je Zile stories zako za kuchakata papuchi sana ni za kweli ama ni kuchangamsha genge tu?

2) Ni kweli unamiliki biashara ya chips?, ni kwa mda gani sasa?, je hiyo biashara ndyo unayoitegemea kukuendesha kimaisha mfano kupay bills,mavazi etc,au una other sources of incomes?, ushauri wowote kwa vijana tunaotaka kuanzisha biashara kama hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Papuchi ni kweli nazichakata, mimi sina starehe nyingine zaidi ya hiyo,

Biashara ni kweli nina banda la kiepe, pia nimefungua na Studio ya Movie, hapo naban CD, kuingiza nyimbo, kuflash Simu, kuuza Flash na memory Card,nimemuweka na fundi wa kurekebisha matatizo ya computer, kama kuweka Windows, Kufanya installation ya program, kuweka games, kuzitengeneza pia,
Hizo ndio kazi zinazoniendeshea maisha,

Lakini hapa juzi kati nimeamua kujiongeza kidogo nipo kijiweni najifunza ufundi wa Aluminium tayari nimeshakuwa na idea nafikiri baada ya miezi kadhaa nitakuwa vyema,
Nikimaliza naingia kwenye PVC.

Nikijua vyema nitakuja hapa JF kuomba Tenda kwa wajengaji wa nyumba nije niwawekee madilisha na milango ya Aluminium.

Na nitaweka Sample pia.

Sijakata tamaa bado napambana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tungekuwa wapi kama chama cha mapinduzi kisingeitawala Tanzania??
Uwenda tungekuwa Chini zaidi ya hapo, Uwenda tungekuwa nchi isiyokalika iliyojaa machafuko and Virse versa pia,
Uwenda tungekuwa nchi Ya Uchumi wa Kati mpaka sasa, uwenda tusingekuwa tunahubiri tena kuhusu ukosefu wa maji, ubovu wa mabarabara,

Wote hatujui kikubwa tutazame kule tunakoelekea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwenda tungekuwa Chini zaidi ya hapo, Uwenda tungekuwa nchi isiyokalika iliyojaa machafuko and Virse versa pia,
Uwenda tungekuwa nchi Ya Uchumi wa Kati mpaka sasa, uwenda tusingekuwa tunahubiri tena kuhusu ukosefu wa maji, ubovu wa mabarabara,

Wote hatujui kikubwa tutazame kule tunakoelekea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Big up..[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Unadhani papuchi zinatofautiana ladha ??..If yes why and if no why

Na kitu gani kipo nyuma ya wanaume wengi kutokuridhika na mpenzi mmoja??
 
Papuchi ni kweli nazichakata, mimi sina starehe nyingine zaidi ya hiyo,

Biashara ni kweli nina banda la kiepe, pia nimefungua na Studio ya Movie, hapo naban CD, kuingiza nyimbo, kuflash Simu, kuuza Flash na memory Card,nimemuweka na fundi wa kurekebisha matatizo ya computer, kama kuweka Windows, Kufanya installation ya program, kuweka games, kuzitengeneza pia,
Hizo ndio kazi zinazoniendeshea maisha,

Lakini hapa juzi kati nimeamua kujiongeza kidogo nipo kijiweni najifunza ufundi wa Aluminium tayari nimeshakuwa na idea nafikiri baada ya miezi kadhaa nitakuwa vyema,
Nikimaliza naingia kwenye PVC.

Nikijua vyema nitakuja hapa JF kuomba Tenda kwa wajengaji wa nyumba nije niwawekee madilisha na milango ya Aluminium.

Na nitaweka Sample pia.

Sijakata tamaa bado napambana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, upo vizuri sana and thank you for the good answers, kumbe IQ unayo ya kutosha tu ila ni basi tu.[emoji3]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niulize swali lolote nitakujibu nataka nijipime IQ test yangu kama imepanda kidogo kupitia majibu nitakayotoa.

NB: Yasiwe ya hesabu, maswali yawe ya kufikiria zaidi either personal Question au kuhusu jamii.

Cc Zero IQ

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20191229_105954.jpg

Cheers my friend.

Hilo ni la kufikiria siyo la hesabu..usikimbie swali🤓🤓
 
3) umesema starehe yako papuchi,je unafahamu kuna magonjwa(HIV/AIDS nk)je unachukua tahadhari au Bora liende?, kwanini usiwe na mmoja mkaaminiana?

4) Je biashara yako ina mchango wowote wa wewe kuendelea kupata papuchi?, yaani unaitumia kuhonga wadada?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tahadhari kwangu ni option ya kwanza kabisa kabla ya kuchakata,

-kweli nikipata mpenz tukaendana nitadumu nae,
Kwanza kabisa sitaki Complain, sitaki mwanamke maneno mengi, kikubwa sitaki stress,
Nataka mwanamke simple tu ambae nitakuwa nae kama rafiki, tucheke, tufurahi tutaniane hivyo yaani,

Kuhusu biashara yangu ni kweli inanikutanisha sana na warembo lakini mimi sio muongoji.
Natoa inapobidi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Papuchi ni kweli nazichakata, mimi sina starehe nyingine zaidi ya hiyo,

Biashara ni kweli nina banda la kiepe, pia nimefungua na Studio ya Movie, hapo naban CD, kuingiza nyimbo, kuflash Simu, kuuza Flash na memory Card,nimemuweka na fundi wa kurekebisha matatizo ya computer, kama kuweka Windows, Kufanya installation ya program, kuweka games, kuzitengeneza pia,
Hizo ndio kazi zinazoniendeshea maisha,

Lakini hapa juzi kati nimeamua kujiongeza kidogo nipo kijiweni najifunza ufundi wa Aluminium tayari nimeshakuwa na idea nafikiri baada ya miezi kadhaa nitakuwa vyema,
Nikimaliza naingia kwenye PVC.

Nikijua vyema nitakuja hapa JF kuomba Tenda kwa wajengaji wa nyumba nije niwawekee madilisha na milango ya Aluminium.

Na nitaweka Sample pia.

Sijakata tamaa bado napambana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hapa nadhani IQ ipo, umejibu vema kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu ndo aloumba kila kitu duniani. Je mungu ni mkubwa kuliko vitu vyote vya dunia?
Ukubwa upi unaotaka kusemea wa Umbo au uwezo?

Kama umbo sina hakika ila ni kama ukubwa wa uwezo hakika Mungu ni mweza wa Yote hawezi pitwa na kile alichokitengeneza(Create )
Creator yeyote lazima aweze kudestroy, sasa hawezi shindwa na kitu ambacho anaweza kukidestroy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tahadhari kwangu ni option ya kwanza kabisa kabla ya kuchakata,

-kweli nikipata mpenz tukaendana nitadumu nae,
Kwanza kabisa sitaki Complain, sitaki mwanamke maneno mengi, kikubwa sitaki stress,
Nataka mwanamke simple tu ambae nitakuwa nae kama rafiki, tucheke, tufurahi tutaniane hivyo yaani,

Kuhusu biashara yangu ni kweli inanikutanisha sana na warembo lakini mimi sio muongoji.
Natoa inapobidi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, kwahiyo hujapata huyo mmoja ambaye mnaendana,ili uache kuchakata hovyo mapapuchi?, jitahidi umpate bana zeroo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom