youngkato
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,319
- 3,097
- Thread starter
- #301
Mkuu kama utaweza kuwasiliana nao.Huu UZI tungeomba kwa mode 4 au Reserved uwe sticky katika jukwaa hili.
Njia pekee ya kuifanya Tanzania ipige hatua katika maendeleo ni pamoja na vijana wanaotarajia kusoma masomo haya ya Jiolojia ya Madini na Mafuta kutambua kwamba sekta hii ni muhimu katika Taifa letu Kiuchumi hivyo kuwapa motisha vijana wengi wazawa waingie katika uwanja huu ili hapo baadae wafaidi rasilimali zao na si ma Expert toka nje ya nchi kuja kutafuna mapesa yanayotokana na sekta hii.
Wakafanyi hiyo kitu itakuwa ni vizuri.
Nafasi bado ni nyingi sana katika nchi hii ila wataalamu ni kidogo.