Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Yah. Nashkuru kwa kubain dhumuni la swali languAmeuliza Ina maana gani , hajauliza nani anaelewa nani haelewi
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah. Nashkuru kwa kubain dhumuni la swali languAmeuliza Ina maana gani , hajauliza nani anaelewa nani haelewi
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ulipaswa useme huo uhusiano ukoje??Sasa unataka nijibu nini?
Unataka nikutajie majina ya mitume na manabii wanaonena kwa Roho wa Mungu na wanaonena kwa hisia zao?
Nimejibu pale juu kutoa mwanga kuwa si kila kunena kwa lugha ni lugha za Kimungu.
Na jukumu la kujua huyu mtu wa Mungu au si wa Mungu ni la kwako wewe sio mimi
Nabii gani au mtume wa Tanzania ambaye ni wa kweli unayemtambua?Sasa unataka nijibu nini?
Unataka nikutajie majina ya mitume na manabii wanaonena kwa Roho wa Mungu na wanaonena kwa hisia zao?
Nimejibu pale juu kutoa mwanga kuwa si kila kunena kwa lugha ni lugha za Kimungu.
Na jukumu la kujua huyu mtu wa Mungu au si wa Mungu ni la kwako wewe sio mimi
Uongo mbona wao wenyewe wanaoongea hawaelewi nini wanaongea. Akiambiwa arudie alichokiongea ataweza? Hiyo sio lugha bana ni makeleleHiyo ni lugha ya roho mtakatifu, wanaelewa nae wanaoongea hiyo lugha.
Tunapima roho kwa kutumia njia 2.Nabii gani au mtume wa Tanzania ambaye ni wa kweli unayemtambua?
Kinachodaiwa kuwa ni kunena kwa lugha huwa ni upuuzi mtupu,Hello
Shalom!
Kila siku kwa kadri ya neema ya MUNGU nitaleta mada moja muhimu ili kumjenga mkristo.
Tujengwe imara ili tusiyumbishwe na mbwa mwitu.
Kristo alisema atakaa ndani yetu nasi tutakaa ndani yake.
Asitokee mtu yeyote akawageuza Wakristo wenzake kama chanzo cha mapato yake.
Watu wajue kuwa MUNGU anakaa ndani yao .
View attachment 2950461View attachment 2950462
Kutokana na somo langu la kwanza la maombi katika Roho kumekuwa na maswali mengi juu ya kunena kwa lugha.
Mwenye swali aweke hapa Mimi pamoja na viongozi wengine wabobezi humu ndani tutawajibu.
SawaKinachodaiwa kuwa ni kunena kwa lugha huwa ni upuuzi mtupu,
Imani ni shambulio la akili.