Niulize swali lolote kunihusu leo

Mkeo akikukasirisha huwa unachukua hatua gani kupunguza hasira zako.
Pia ukimkasirisha huwa unafanya nini kumrudisha normal?
(Jibu lako mabechela tunaweza kujifunza)
Vijana wengi siku hizi huwa wanaingia ndoani bila kujua/kupata mafundisho ya ndoa kiasi kwamba kwenye ndoa zao ni ugomvi, maneno na kupigana kila siku.
Kwanza kabisa unatakiwa umjue mkeo ni mtu wa namna gani na ukishamjua hapo haikupi shida jinsi ya kutatua mitafaruku ya ndoani kwako na lau kama ukioa kufata mkumbo ndio utajikuta kila siku unashinda majukwaani kuomba ushauri juu ya ndoa.
Tukizungumzia ndoa ni kitu sensitive sana kwani jinsi sisi wanaume tulivyo na utofauti basi na ndivyo wanawake nao walivyo na utofauti.Ila cha msingi ni kumwelewa mwenza wako nae akuelewe mkiwa hivyo hamtosumbuana wala kupigana. Wanawake huwa wanapenda sana kubembelezwa na kutunzwa zaidi ya lulu au mboni ya jicho. Usioe ili tu kwa vile utaondoa kizuizi cha kupata ukitakacho bali oa ukiwa na uhakika sasa unakwenda kumchukua mtoto wa kike kwao toka kwenye mikono ya wazazi wake na wewe ndio utakuwa kila kitu kwake.
 
Vipi kama nakuzidi umri eti kakangu wa faida
Kama unanizidi umri, inamaana itakuwa umezaliwa kabla yangu, mi nitaendelea kukuheshimu tu kama kawaida. Kwa maana mwanamke jina lake huwa halibadiliki akiwa mdogo dada na akiwa mkubwa dada [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Ndoa yako ina umri gani?
Ulitumia mbinu ipi kumuaminisha mkeo kuwa wewe ndiye mwanaume sahihi wa maisha yake?(naweza kuitumia mbinu yako)
 
Kama unanizidi umri, inamaana itakuwa umezaliwa kabla yangu, mi nitaendelea kukuheshimu tu kama kawaida. Kwa maana mwanamke jina lake huwa halibadili akiwa mdodo dada na akiwa mkubwa dada [emoji120][emoji120][emoji120]
Sawa kakangu wa faida
 
Ndoa yako ina umri gani?
Ulitumia mbinu ipi kumuaminisha mkeo kuwa wewe ndiye mwanaume sahihi wa maisha yake?(naweza kuitumia mbinu yako)
Case sensitive
Kila mtu na mbinu zake, naweza kukupa mbinu nilotumia mimi ila upande wako isifanye kazi. Ndio maana hata leo hii mapito unayopitia wewe na mimi ni tofauti. Ila nakuusia kuwa mkweli kwenye mipango ya maana utafanikiwa. Hii ni mbinu kubwa sana.
 
Usikiaye Maombi by CATHY PRAISE
SAS kweny kubet kwa sisi vijana tunasema umeweka double chance na bado umepigwa

Najua hujanielewa ila alieomba iyo nyimbo atakua kanielewa tu labda awe ameamua kukaza ubongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…