Niulize swali lolote kunihusu leo

Niulize swali lolote kunihusu leo

Sijawahi na wala sintokuja kufanya hivyo kwa maana kwa mujibu wa Uislam mtu akifanya hivyo,
1. Allah hamtomtizama mtu huyo kwa jicho la rehma.
2. Mafikio yake siku ya hukmu ni Jahannam. Ila kama atatubia na kutoendelea kufanya kitendo hicho.
Liwati imekharamishwa.
[/QUOTE
Mkuu jibu lilikua ndio au hapana hukuambiwa utoe maelezo, unataka kukatisha tamaa wenye nia hiyo. Samahani lakini
 

Kitu chochote ambacho ni kibaya yafaa tukatazane
 
Kwaniaba ya Scott Adkins na mimi mwenyewe, najitakia Siku njema ya kuzaliwa kwangu
🎊🎊🎉🎉🎉🎉🎉
 
Bado unaangaliaga porn
Ndio, porn sio lazima ziwe za binadamu inatokezea sometimes kuku zinafanya mbele yangu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Una mafanikio gani uliyoyapata toka umezaliwa?
Chief hili swali lako nilikujibu lakini nimerejea ili nijalizie zaidi...kwasasa mafanikio yako juu zaidi, nisingependa kuweka wazi lakini yako juu 🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom