Travis Walker
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 323
- 334
- Thread starter
-
- #61
Lolote ambalo linakusumbua kama mmoja hana suali na akae kimya,naamanisha lenye kutaka ufumbuziMaswali juu ya nn kuhusu nini siasa... Uchumi... Mapenzi... Elimu... Intelligence....
Au yotetuu ?
Au nyie ndo akina hamorapa?
Tafadhali uliza suali lenye maana ambalo linakutatiza na unatafuta ufumbuzi wakeAliegundua kijiko cha chakula alipatwa na nini kabla?
Ya kwanzakwanini umejiunga Leo Jamii forums??
Je hii ni ID yako ya ngapi humu ndani!?
Inshallah nitafanyaje wewe ulishawai kujaribu hii link? Car From Japan Grand Giveaway 2017 kama bado embu jaribu alafu tuambie
Kwa sababu wengi kati yetu tunasahau kama kuna kufa kwa sababu bado pumzi zinapiga halafu ndio kawaida ya mwanadamu ni pupaKwanini binadamu wengi kila siku tuko busy kutafuta utajiri na wakati tutakufa
kuku ndio wa kwanza kuumbwa na kaumbwa kutokana na majiKat ya kuku na yai kipi kilianza?
Kiboko ndio kiboko na mamba ni mambakati ya mamba na kiboko nani kiboko?
Binaadamu yoyote hudharurika lakini ahadi naitimizaSaa mbili haijafika,au unatuletea ukonda hapa?
Kwa nini nikiangalia angani naona rangi ya blue?
Kwa nini maji ya bahari yanaonekana pia ni ya blue ukiwa mbali?
Ni kitu gani kinasababisha ule upinde wa mvua na zile rangi kwa nini ziko saba?
Kwa nini maji ya bahar yanakuwa ya chumvi lakini ya kwenye mabwawa yanakuwa ya baridi?
Wamarekani wametuma kifaa kwenda pluto kukusanya taarifa ya hiyo sayari, mpaka sasa kimefikia hatua gani na ni taarifa nyingi kiasi gani zimeshafika?
Wamewezaje kutengeneza ile international space station na inawezekana vipi kuelea kwenye orbit bila kuanguka?
Mimi ni kama wewe, napenda sana kusaidia kwa kile ninachokifahamuhivi ww ni nani kwan mpk tukuulize swali lolote
Kwa sababu ya kusaidiana na kutambua udhaifu wetuKwanini umeleta huu Uzi?
Lolote ambalo linakusumbua kama mmoja hana suali na akae kimya,naamanisha lenye kutaka ufumbuzi
Kwasabu ndio muda ambao nina nafasi sanaKwa nini uanze kujibu saa 2?
mumeWewe ni jinsia ipi
Kwasababu wazubgu hawavai kanzuKwanini wakristo hawapendi hijab wakati picha ya Mariam imevaa, na kwanini wakristo hawapendi kanzu wakati mapadre wanavaa ni hayo tu
Swali zuriJe, uwepo wa shetani ni mpango wa mungu au ni kufeli kwa mungu?