Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Ulianza lini kupata hisia za ushoga?Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Yani acha tumaswali yako kama una hasira na jamaa
SijaanzaUlianza lini kupata hisia za ushoga?
Wa pilikwenu wewe ni mtoto wa ngapi kuzaliwa?
No iam not a gayWhy are you gay?
Taja mitaa mitano ya mpwayungu, taja walimu wawili wa msingi na sekondariNimezaliwa hapo Mpwayungu ndugu,naweza kuwa jirani yako tunaosalimiana kila siku[emoji23]
Ulifikiria nn kutamani kua mwanamke??Sijaanza
Nimejiajiri kwenye kilimo cha mpunga, nafanya kazi kwenye shirika la wakimbizi UNHCRNina swali kadhaa kuhusu wewe, ninaomba ujibu lolote linalohusiana na wewe:
1. Unafanya kazi au unaendelea na masomo?
2. Una ndoto gani kubwa katika maisha yako?
3. Unapenda kufanya nini wakati wa kupumzika?
4. Unapenda chakula gani sana?
5. Unayo nia gani ya kujifunza au kufanya katika siku zijazo?
-------------------
Source: ChatGPT
Ndoto yangu nikuwa mfanyabiashara mkubwa wa mazao angalau niwe nalima hekali zaidi ya elfu tano za mpunga, niwe nanunua mpunga hata gunia laki moja zilizokobolewaNina swali kadhaa kuhusu wewe, ninaomba ujibu lolote linalohusiana na wewe:
1. Unafanya kazi au unaendelea na masomo?
2. Una ndoto gani kubwa katika maisha yako?
3. Unapenda kufanya nini wakati wa kupumzika?
4. Unapenda chakula gani sana?
5. Unayo nia gani ya kujifunza au kufanya katika siku zijazo?
-------------------
Source: ChatGPT
sawa,Wa pili
Nataka nijifunze kilimo cha kisasa kama wenzetu wazungu wanavyofanya, Napenda siku niende India nijifunze mbinu wanazotumia kuzalisha mpungaNina swali kadhaa kuhusu wewe, ninaomba ujibu lolote linalohusiana na wewe:
1. Unafanya kazi au unaendelea na masomo?
2. Una ndoto gani kubwa katika maisha yako?
3. Unapenda kufanya nini wakati wa kupumzika?
4. Unapenda chakula gani sana?
5. Unayo nia gani ya kujifunza au kufanya katika siku zijazo?
-------------------
Source: ChatGPT
Sijui kama Kuna Mungu wa waislam na wakristo kivyakeSwali lolote; Mungu wa Kikristu na wa Kiislamu ni yupo wa kweli? Najua Mungu angekuwa mmoja hangeruhusu huu mgawanyiko.
Wanawake sio mashoga, hisia za mwanamke na hisia za shoga ni tofauti. Niliwaza bora ningezaliwa mwanamke (sio nijibadili jinsia) ili nipate fursa kama wanazopewa wanawake tofauti na ngonoUlifikiria nn kutamani kua mwanamke??
Udhani fikira hii inaashiria undani wako kuna homoni nyingi za kike ambazo zinaweza kukupelekea ushoga??
Rudi ukasome tena! Panzi wwHawana kosa kwa nchi yetu, section ya 154 ya penal code inatoa adhabu Kwa wanaofanya mapenzi against nature, against nature inamuhusu mwanamke tuu kuingiliwa nyuma hilo ndo kosa. Kwa shoga our law is silent
Njoo kwangu mi mkubwa mwenzioMie ni rafiki yangu sana nampenda ila sio mpenzi nikadogo sana .
Ila ni best yangu sanaa hata simjui ila napendaga post zake nakumsupport .