Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.

Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku

Asante [emoji120]
Ulianza lini kupata hisia za ushoga?
 
Nina swali kadhaa kuhusu wewe, ninaomba ujibu lolote linalohusiana na wewe:

1. Unafanya kazi au unaendelea na masomo?
2. Una ndoto gani kubwa katika maisha yako?
3. Unapenda kufanya nini wakati wa kupumzika?
4. Unapenda chakula gani sana?
5. Unayo nia gani ya kujifunza au kufanya katika siku zijazo?

-------------------

Source: ChatGPT
Nimejiajiri kwenye kilimo cha mpunga, nafanya kazi kwenye shirika la wakimbizi UNHCR

Napenda kusoma vitabu nikiwa nimepumzika

Napenda kula ugali na mlenda nikiwa local village ila kama maeneo ya mjini ni ngumu kupata mlenda wa dodoma nakula ugali samaki
 
Nina swali kadhaa kuhusu wewe, ninaomba ujibu lolote linalohusiana na wewe:

1. Unafanya kazi au unaendelea na masomo?
2. Una ndoto gani kubwa katika maisha yako?
3. Unapenda kufanya nini wakati wa kupumzika?
4. Unapenda chakula gani sana?
5. Unayo nia gani ya kujifunza au kufanya katika siku zijazo?

-------------------

Source: ChatGPT
Ndoto yangu nikuwa mfanyabiashara mkubwa wa mazao angalau niwe nalima hekali zaidi ya elfu tano za mpunga, niwe nanunua mpunga hata gunia laki moja zilizokobolewa
 
Nina swali kadhaa kuhusu wewe, ninaomba ujibu lolote linalohusiana na wewe:

1. Unafanya kazi au unaendelea na masomo?
2. Una ndoto gani kubwa katika maisha yako?
3. Unapenda kufanya nini wakati wa kupumzika?
4. Unapenda chakula gani sana?
5. Unayo nia gani ya kujifunza au kufanya katika siku zijazo?

-------------------

Source: ChatGPT
Nataka nijifunze kilimo cha kisasa kama wenzetu wazungu wanavyofanya, Napenda siku niende India nijifunze mbinu wanazotumia kuzalisha mpunga
 
Ulifikiria nn kutamani kua mwanamke??
Udhani fikira hii inaashiria undani wako kuna homoni nyingi za kike ambazo zinaweza kukupelekea ushoga??
Wanawake sio mashoga, hisia za mwanamke na hisia za shoga ni tofauti. Niliwaza bora ningezaliwa mwanamke (sio nijibadili jinsia) ili nipate fursa kama wanazopewa wanawake tofauti na ngono
 
Back
Top Bottom