Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #121
Mkuu wapo watu wana degree nne tofauti, anyway pita kwenye uzi wangu wa lindi Kuna sehemu nikiattach kila kitu au ngoja wazoefu waje atatoa ushuhudaUnataka kusema ulihitimu udom ndio ukaenda udsm na ulishahitimu law?
Hebu tueleze udom ulihitimu mwaka Gani na udsm..!!
Pia Kwa kuwa umesema upo tayari kufichua identification basi eleza shughuli zako za sasa na ulipo, then weka na picha kabisa...ikibidi ututajie na majina Yako yote!
Kweli MkuuNi kweli mie ni mtoto mdogo sana kwako kama ambavyo na wewe ni mtoto mdogo sana Kwa wenzako na vilevile Kuna watoto wadogo zaidi yangu. Tofauti kati yetu ni Moja tu, sioni Hilo la kuwa Mkubwa au mdogo kuwazidi wengine ni kitu Cha kujivunia au kupigia makelele wengine.
Huyu ndo wewe sasa mkuuHata sijamwelewa, sasa anivulie chupi ili nivae mimi au niishone?
Hongera, nilikuwa nakaa mkwawa A1
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119]WAALIMU NDO NINI
Sikusoma Lugha so kama unajua "viima" na "Viarifu" unatosha nilisoma PCBWAALIMU NDO NINI
Sina demu Kwa SasaHuyo singo maza unayeishi nae umefunga nae ndoa?
Sijui, ila nikifa mwili wangu utupwe mbugani fisi na simba wapate kitoweoUkifa unaenda wapi?
Ndio na mimi nikatoa mawazo yangu au nimekosea mkuu?Ndio ametoa fursa Leo aulizwe hayo maswali yote na bila shaka atayajibu Kwa ufasaha. Binafsi nampongeza Kwa ujasiri wake.
Ndio wapoKuna viumbe wengine kwenye huu ulimwemgu?
Lengo ni kukuweka sawa ili ujifunze na sio kwa UbayaSikusoma Lugha so kama unajua "viima" na "Viarifu" unatosha nilisoma PCB
Hhhahaha hatari sanaSeuta G6. Kikinuka hua tuna timkia mtoni lyandembela
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ» nakukubali sana mkuu I'm a very humble personLengo ni kukuweka sawa ili ujifunze na sio kwa Ubaya
Umempa jibu safi SanaNi kweli mie ni mtoto mdogo sana kwako kama ambavyo na wewe ni mtoto mdogo sana Kwa wenzako na vilevile Kuna watoto wadogo zaidi yangu. Tofauti kati yetu ni Moja tu, sioni Hilo la kuwa Mkubwa au mdogo kuwazidi wengine ni kitu Cha kujivunia au kupigia makelele wengine.
Ni kweli.(idle)!Shule ya msingi uliyosoma inaitwaje...ili tumtafute huyo mwl aliyekuumiza ki-saikolojia.?
Je baada ya kukosa kazi ya ualimu,je unajishughulisha na nini maana "An idol mind is devil's workshop"
Basi sawaHapana
Akikupa ntag na mimiTupe link π€£π€£π€£π€£
Jibu hayo maswali hapa, si umekubali kujibu pale unapoulizwa chochote?Mkuu wapo watu wana degree nne tofauti, anyway pita kwenye uzi wangu wa lindi Kuna sehemu nikiattach kila kitu au ngoja wazoefu waje atatoa ushuhuda