Capslock
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,089
- 4,816
[emoji3][emoji3] una wasi wasi na njisia ya mtoa mada?
Wewe ni jinsia gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni jinsia gani
Kweli value inapungua Mana supply Ni kubwa mno. Pia wanaume wenye uwezo wa pesa ama wenye maendeleo Ni wachache mno wawazao uchi ndio hao wanawake wanawataka na wao hawana interest nao kivile labda anachapa akijisikia Kama hamu ya kula chakula fulaniSiku hizi uchi unapatikana kirahisi Kwa bei chee kuliko Wali maharage Kwa mama bonge
Kumbe wewe mtoto mdoogo97 nilikua form one hapo Ifunda Tech.
Kumbe ni dogo sana kiasi hiki wa 97 PUMBAVU Ukianzisha uzi uanze na SHIKAMOONI WAKUBWA😅
Seuta G2. Darasa Group 4.Ulikaa bweni lipi mkuu, seuta, chabruma, mirambo au mkwawa
Walimu wamewahi kukukera nini hasa unawasimanga Sana tupe uzoefuKiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Usilolijua ni usiku wa kisa.. Yupo mtoto alikataa kumtunza baba ake tukasema ana laana lakini siku alipotoa ushuhuda kanisani waumini wote walifunika nyuso zao, baada ya ibada walianza kuchimba kaburi mapema kuomba baba ake afe hata mda huo huoJe kwa umri uo wa 26 hauoni umri sahihi wa kuishi katika utakatifu na kuhubiri upendo na Haki
kumchukia Mwalimu hauoni ni utumwa wa fikra Mkuu?
Unataka kusema ulihitimu udom ndio ukaenda udsm na ulishahitimu law?Olevo nimesoma Dr salmin, advance nimesoma ifunda(PCM) chuo nimesoma Udom na udsm bachelor of science in physics na law respectively
Mkuu haka kajamaa kanatukana sana WAALIMUKwanini mnamshambulia mpwayungu village wakati ameamua kuwa jasiri na kujitokeza hadharani kuruhisu aulizwe maswali yeyote kuhusu yeye?
Nafikiri ingefaa watu wakajikita zaidi kumuuliza maswali yeyote kama alivyoweka wazi kwamba atayajibu.
Hongera, nilikuwa nakaa mkwawa A1Seuta G2. Darasa Group 4.
WAALIMU NDO NINIMkuu haka kajamaa kanatukana sana WAALIMU
Vuta subra hiyo siku nitasema Nina uhakika hutawapenda tena maisha yako yoteWalimu wamewahi kukukera nini hasa unawasimanga Sana tupe uzoefu
Nivulie mimi basi1997
Yaani wewe pichu siwez kukuvulia just in case
Kumbe wewe mtoto mdoogo
Tupe link 🤣🤣🤣🤣We unavituko mara ulisema ulimaliza mawenzi primary school moshi mwaka 1997, mara umezaliwa mwaka 1997 ukiwa muongo huwezi kuwa na kumbukumbu
Mimi nilikuwa Kama wewe na mshukuru sir God now nimepata kuokoka kutoka katika utumwa wa fikraUsilolijua ni usiku wa kisa.. Yupo mtoto alikataa kumtunza baba ake tukasema ana laana lakini siku alipotoa ushuhuda kanisani waumini wote walifunika nyuso zao, baada ya ibada walianza kuchimba kaburi mapema kuomba baba ake afe hata mda huo huo
Mkuu haka kajamaa kanatukana sana WAALIMU