Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Damu changa hiyo anaweza kukulaza na viatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]1997
Yaani wewe pichu siwez kukuvulia just in case
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Damu changa hiyo anaweza kukulaza na viatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]1997
Yaani wewe pichu siwez kukuvulia just in case
1)Mtoto pekee wa kiume ✔️Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Naomba ushemejiKiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Nivulie Mimi basi,miye wa 19961997
Yaani wewe pichu siwez kukuvulia just in case
HAHAHAHAHAHAHata sijamwelewa, sasa anivulie chupi ili nivae mimi au niishone?
Yaani akili ya mwanamke huwa ipo katikati ya mapaja yake. Muda wote anawaza uchi wangu uchi wangu😁😁Hata sijamwelewa, sasa anivulie chupi ili nivae mimi au niishone?
AahahahaahaUanauke bado unautaka?
Sijakuelewa, liweke swali vizuriKwa nini unafuga nywele zake nakupenda kuvaa viatu vyeusi?
Kwahiyo Bado unautaka!!?Nishazaliwa mwanaume hakuna jinsi
Wote ninyi watoto.Nivulie Mimi basi,miye wa 1996
Mwacheni mtoto apumzikeSwali; kwakuwa kumezaliwa wa jinsi ya kiume pekeako, tunakubaliana kabisa kwamba tabia za kikekike umeadapt toka kwa dada zako. Kitendo ambacho kilipelekea wewe kutamani ungezaliwa na jinsi ya kike. Je, utakubaliana na mimi kwamba ww una element za kishoga?
Shikamoo mkuuSwali; kwakuwa kumezaliwa wa jinsi ya kiume pekeako, tunakubaliana kabisa kwamba tabia za kikekike umeadapt toka kwa dada zako. Kitendo ambacho kilipelekea wewe kutamani ungezaliwa na jinsi ya kike. Je, utakubaliana na mimi kwamba ww una element za kishoga?
Olevo nimesoma Dr salmin, advance nimesoma ifunda(PCM) chuo nimesoma Udom na udsm bachelor of science in physics na law respectivelyTueleze kuhusu elimu Yako, sekondari na A level ulisoma comb Gani kama ulisoma hiyo level, bila kusahau kutuambia elimu Yako ya chuo ni ngazi gani..!? Degree, diploma ama certificate ya taaluma gani na ulisoma chuo gani!
Nawe nin mtoto!?Wote ninyi watoto.
Sasa imergine mtoto na mtoto wapi na wapi