Supercomputer
JF-Expert Member
- Feb 13, 2021
- 634
- 1,311
Huwa unalewa chakari?Pombe natumia mpaka sasa ila sio bangi au madawa ya kulevya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa unalewa chakari?Pombe natumia mpaka sasa ila sio bangi au madawa ya kulevya
Sijajua kwani zimefungwa?Shule zinafunguliwa lini?
No I don'tHuwa unalewa chakari?
[emoji23][emoji23]Wewe ni jinsia gani
Kweli wewe sio rizikiUvuwe ili nifanyeje
HAHAHAUvuwe ili nifanyeje
Uliza chochote kulingana na umri wakeSasa mtoto wa 1997 nimuulize kitu gani?
Nimesahau michezo ya utotoni mkuu😂Uliza chochote kulingana na umri wake
Ndiyo maana majuzi nikitazama comment yako kwenye mada yako, nikasema wewe si shaka ni mtoto! Kumbe kweliKiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
@uwe hodari [emoji120]Safi km bado mdogo na unajitambua hivyo is such a blessing usipobweteka
Nimefika huko Enzi hizo nasoma iringa likizo zote nilikuwa naenda Kwa mashkaji zangu mbeyaUmewahi kufika mbeya?
Kama bado hujawahi,karbu mbeya mdogo angu...ntakua mwenyeji wako
Mara ya kwanza nilijuta Kwa nn nimeharibu uume wangu kabla ya kuoa, sijawahi kupiga punyeto mpaka sasaKabla hujaanza kufanya mapenzi na wasichana/wanawake huwa Kuna stori nyingi kutoka kwa wanaojiita wazoefu.
1.Je, wewe baada ya kufanya kwa Mara ya kwanza ulijisikiaje?
2.Ulishawahi kupiga punyeto?
Hicho tu ndio umewaza1997
Yaani wewe pichu siwez kukuvulia just in case
Hana kingine cha ku offerHicho tu ndio umewaza
Hata sijamwelewa, sasa anivulie chupi ili nivae mimi au niishone?Hicho tu ndio umewaza