Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #421
SijawahiUlishawahi shiriki mapenzi ya jinsia Moja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijawahiUlishawahi shiriki mapenzi ya jinsia Moja?
Hili ndo swali?Mpwayungu ni mwalimu mpaka kufa kwake, pia anavaa uhusika wa swaga za kimaisha ambazo Hana ana Maisha duni sana na anapenda kujisifia uongo au uongo ndugu zanguni?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana sijawahi ahseeWee dogo mara ya mwisho kujichua ilikuwa lini ?!
Wasalimie RAU MADUKANIKumbe dogo , weee jamaaa kumbe ni dogo ki umri dah
Sina nikipata nitatuma, zimebak feki tuTuma picha yako halisi
NdioJe! Ukiiweka hiyo story itaisha?
Asante sanaSijawahi
Hapanamkuu wewe ni mwalimu wa arts??
Weee dogo aseeeee mie juzi nilitinga dodoma kwenye interview , kumbe ningepita huko mpwayungu villageWasalimie RAU MADUKANI
Ndugu Mpwayungu,real Id Tasafali😂Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Uhuuhuhuhu! Karibu sana kiongozi utatukuta msimu wa mavuno nakaribia nipo porini mda huu najiandaa usiku wa saa Sita nikaline asali Kuna nyuki wapo pango moja iviWeee dogo aseeeee mie juzi nilitinga dodoma kwenye interview , kumbe ningepita huko mpwayungu village
Hata Nikisema hutanijua unless umezaliwa mpwayunguN
Ndugu Mpwayungu,real Id Tasafali[emoji23]
maswali yako kama una hasira na jamaaHapana
Kwanini umeuliza hivyo
Nimezaliwa hapo Mpwayungu ndugu,naweza kuwa jirani yako tunaosalimiana kila siku😂Hata Nikisema hutanijua unless umezaliwa mpwayungu
🤣🤣🤣 taja umri sasa30 something ila sio 35
Why are you gay?Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]