Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hana adabu huyu mtoto..Nlikuwa form 3 mshenzi anatukana walimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana adabu huyu mtoto..Nlikuwa form 3 mshenzi anatukana walimu
😅😅Kumbe [emoji23][emoji23][emoji23]au nimfulie
Mie ni rafiki yangu sana nampenda ila sio mpenzi nikadogo sana .Unique Flower njoo kuna wakufanana na wewe huku, I gues mtakuwa na chemistry nzuri sana 😂😂
Je una mpango wa kurejeleaaaa??Ni kweli nilikwenda mkuu, nilikatisha kutokana na dhihaka za waburudikaji
Kwan ww una miaka mingapi kama yeye ni kadogo sana?Mie ni rafiki yangu sana nampenda ila sio mpenzi nikadogo sana .
Ila ni best yangu sanaa hata simjui ila napendaga post zake nakumsupport .
Nikuchangamsha jukwaa babe.[emoji19][emoji19][emoji19]
Hivi kwa mfano asingetaja umri wake hapa unadhani ungejua ana umri huo? Wengi kupitia Huu uzi wanaoneshwa kushangazwa hawakudhi mtoa mada atakuwa na umri huo hii ni kwasababu michango yake Mingui anayotoa humu ni ya maana so mkuu kuwa na umri mkubwa haimanishi kuwa itakuwa na upeo mkubwa au ukiwq kijana mdogo eti utakuwa na upeo mdogo so usimjudge mtu kulingana na umri wake judge hoja zake je zinafaafactor ya umri ni moja factors kubwa zinazoelezea kwa nin mtu fulani, amewaza alicho waza, amefikiri alivo fikiri, ametenda alichotenda au ameongea alichoongea. For a normal person, muturation inakwenda direct proportional na age yake. Kana flow?
Sababu Mzee sana au mtoto sana kwako? 😂1997
Yaani wewe pichu siwez kukuvulia just in case
Una elimu ganiKiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Hakujui huyo Kwamba wewe ni kibibiUmeniita?
Ramadhan Mubarak
Wewe una matatizo, Daktari akifundisha hospital atakuwepo Nani?Mpwayungu ni kijiji, bora wafundishe watu wa fan zingine ila sio mwalimu. Bora biology afundishe daktari, kiswahili wafundishe bakita,.. Nk
[emoji533]Anataka kamsererko
Dah! Wakati unazaliwa, mimi nilikuwa form 3!! Humu jukwaani kumbe kuna wakati huwa tunabishana na vitoto vidogo sana.Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Nilikiwa darasa la sita hvDah! Wakati unazaliwa, mimi nilikuwa form 3!! Humu jukwaani kumbe kuna wakati huwa tunabishana na vitoto vidogo sana.
Kibibi tena?Hakujui huyo Kwamba wewe ni kibibi
30 something ila sio 35Kwan ww una miaka mingapi kama yeye ni kadogo sana?