Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,754
- 8,750
Mkuu kwani umri unatatizo gani kiasi iwe hoja yako kuu?
kaka unaweza mwandikisha kidato cha tano mtoto wako wa miaka mitatu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani umri unatatizo gani kiasi iwe hoja yako kuu?
Anataka kamsererkoAkili za huyo ndugu, ukijumlisha na hiyo NGO anayofanyia kazi, inaleta ukakasi! Juzi alianzisha uzi kua anatamani kua mwanamke, kua wanaume tunapitia shuruba kali kuliko wanawake[emoji1787][emoji1787]
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Mziki kama huo, alafu unaambiwa ela kesho, au boss hapatikani kwenye simu[emoji1787][emoji1787] yeye anaona mateso, ni bora awe anajiremba na kutafuta mabwana wa kuwachuna tu
Sasa kuna mtu hapoView attachment 2573802View attachment 2573804
[emoji16][emoji16]dah nomasana lyandembela lilikua Chaka letu hilo wazee wakudoji classSeuta G6. Kikinuka hua tuna timkia mtoni lyandembela
Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Mwaka gani ulikuwa unasoma sheria UDSM?Huyu lofa mpaka Leo anakaza tu, mkuu sipo chuo la ajabu hilo. Mimi sheria nimesoma udsm
Sawa mkuuNi dada mmoja mwenye threads nyingi JF, somehow zinafanana na za Braza Mpwayungu
Wsnasema ukitaka kusema uongo, kumbuka neno la kwanzaWe unavituko mara ulisema ulimaliza mawenzi primary school moshi mwaka 1997, mara umezaliwa mwaka 1997 ukiwa muongo huwezi kuwa na kumbukumbu
Ukimpa wewe itatosha.Vipi akikuomba kweli utampa kwa umri huo
Teacher in denialMpwayangu kwasababu unaelewa mambo mengi ya walimu, inaonekana wewe ni mwalimu na haujapata ajira, maana hadi mishahara yao unaifahamu
Mtu mwenye miaka 26 ni mtoto?kaka unaweza mwandikisha kidato cha tano mtoto wako wa miaka mitatu?
"Imeisha hiyo! Dah lilikuwa bonge la story na ni vyema akaileta upyaKwann ulikatisha ile story yako ya safar ya lindi na kina kidagaa
Ni kweli ulikwenda huko au ulijitungia
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nivulie mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Damu changa hiyo anaweza kukulaza na viatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji39][emoji23]Wote ninyi watoto.
Sasa imergine mtoto na mtoto wapi na wapi
[emoji23][emoji23]Achana na hao watoto, tuyajenge!!
Ndo maana sa nyingine tunadharaulika yeye ameambiwa aulize swali lakini ameenda mbali kuwaza ngonoHicho tu ndio umewaza
pumzika kwa amani ndugu.Pumbavu sana ana USHAWISHI gani hapa au ndio kama Hance Mtanashati au cocastic 🏳️🌈