Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.

Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku

Asante [emoji120]
Mkuu upo hapo kijiji muda huu?,,,nipo hapa ng'wenda village
 
Akili za huyo ndugu, ukijumlisha na hiyo NGO anayofanyia kazi, inaleta ukakasi! Juzi alianzisha uzi kua anatamani kua mwanamke, kua wanaume tunapitia shuruba kali kuliko wanawake[emoji1787][emoji1787]


[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Mziki kama huo, alafu unaambiwa ela kesho, au boss hapatikani kwenye simu[emoji1787][emoji1787] yeye anaona mateso, ni bora awe anajiremba na kutafuta mabwana wa kuwachuna tu

Sasa kuna mtu hapoView attachment 2573802View attachment 2573804
Aisee
 
Swali; kwakuwa kumezaliwa wa jinsi ya kiume pekeako, tunakubaliana kabisa kwamba tabia za kikekike umeadapt toka kwa dada zako. Kitendo ambacho kilipelekea wewe kutamani ungezaliwa na jinsi ya kike. Je, utakubaliana na mimi kwamba ww una element za kishoga?
Mzee kama Peter kibatala
 
Mkuu unahimili vip hisia zako unapo waponda walimu , pale wanaporudisha mapigo kama kukuita shoga ? 2. Wakati unaandika ule uzi wako wakutaman kupata fursa wazopata wanawake , je hukufahamu walimu watautafsiri kivingne na kutumia kama silaha ya kukumaliza? 3 na unakabiliana vipi na hilo?
Hawana akili kwasababu shoga sio mwanamke, hata hivyo huwa nawapuuza tu kwasababu mm nilizungumza fursa za mwanamke kiuchumi nasio ngono nasikusema nataka kuwa choko
 
Mtu mwenye miaka 26 ni mtoto?

factor ya umri ni moja factors kubwa zinazoelezea kwa nin mtu fulani, amewaza alicho waza, amefikiri alivo fikiri, ametenda alichotenda au ameongea alichoongea. For a normal person, muturation inakwenda direct proportional na age yake. Kana flow?
 
Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.

Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku

Asante [emoji120]
Yaani kumbe katoto ka 97 ndio kanawaponda waalimu namna hii humu jamvini
 
Back
Top Bottom