Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Njia ya kwao Kwa bihawana utazunguka sana maana bihawana kama unaelekea No ndwa au ng'ome wao kwao ukifiki mpunguzi ingia kulia
Bihawana karibu sana na mjini Dodoma nauli nadhani 1500 au imepanda 2000 hivi
Hawa kwao pale MPUNGUZI UKIVUKA DARAJA UPANDE WA KULIA UNAKULA VUMBI KM LISAAA NA NUSU NDO UNAINGIA MPWAYUNGU HAPO
Nimeweka mafuta ya 50k nipe muongozo tu nipi wa babaake😂😂😂😂😂
 
huyu mtoto MpwayunguLicious 🏳️‍🌈🏳️‍🌈
Kwa mlio soma Cuba na Russia mtakua mnazidi kumuelewa sasa jinsi anavyo jieleza uki connect dots... Huyu mtoto hasara tupu anahitaji msaada wa kisaikolojia... Ni vile yupo kwenye balehe na mbaya zaidi upinde... ila msihofu ipo siku atajisahau ataweka kilakitu hadharani na mtamjua nje ndani...
 
Hawana kosa kwa nchi yetu, section ya 154 ya penal code inatoa adhabu Kwa wanaofanya mapenzi against nature, against nature inamuhusu mwanamke tuu kuingiliwa nyuma hilo ndo kosa. Kwa shoga our law is silent
[emoji848][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji848]
JamiiForums2127491895.jpg
 
Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.

Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku

Asante [emoji120]

Tupe lD yako halisi
 
Mkuu unahimili vip hisia zako unapo waponda walimu , pale wanaporudisha mapigo kama kukuita shoga ? 2. Wakati unaandika ule uzi wako wakutaman kupata fursa wazopata wanawake , je hukufahamu walimu watautafsiri kivingne na kutumia kama silaha ya kukumaliza? 3 na unakabiliana vipi na hilo?
 
Back
Top Bottom