Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Nilipojua umri wake...sitamlaumu tenaKUna siku aliposti V8 kumbe la mtandaoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipojua umri wake...sitamlaumu tenaKUna siku aliposti V8 kumbe la mtandaoni
,2007 miye nipo kidato Cha Tano Lindi SekondariNapajua maana nimesoma secondary na waliomaliza Makurumla hapo ndo maana nimembishia 2007 namaliza advance Mimi
Nimekuelewa sema namshangaaa anavodanganya Hapa wakati huyu mgogo alikua kwao mpwayungu enzi hizo wanatembea Kwa mguu mpk Dodoma mjiniMakurumla ilikuwepo hata kabla ya 1999
Makurumla ilibadilishwa kuwa Mwalimu Nyerere mwaka 1999
Kipi hakieleweki hapo!?
HahahaHata sijamwelewa, sasa anivulie chupi ili nivae mimi au niishone?
Nimeweka mafuta ya 50k nipe muongozo tu nipi wa babaake😂😂😂😂😂Njia ya kwao Kwa bihawana utazunguka sana maana bihawana kama unaelekea No ndwa au ng'ome wao kwao ukifiki mpunguzi ingia kulia
Bihawana karibu sana na mjini Dodoma nauli nadhani 1500 au imepanda 2000 hivi
Hawa kwao pale MPUNGUZI UKIVUKA DARAJA UPANDE WA KULIA UNAKULA VUMBI KM LISAAA NA NUSU NDO UNAINGIA MPWAYUNGU HAPO
HahahahYaani akili ya mwanamke huwa ipo katikati ya mapaja yake. Muda wote anawaza uchi wangu uchi wangu[emoji16][emoji16]
Sababu ukiondoa uchi na kuzaa hakuna awezalo kupaYaani akili ya mwanamke huwa ipo katikati ya mapaja yake. Muda wote anawaza uchi wangu uchi wangu[emoji16][emoji16]
Sijui kwanini nilikua nahisi u mkaka mkuubwaaa..kwenye 38 to 40 huko..kumbe bado kijana mdogo
[emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji2960]Nenda sokoni
[emoji848][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji848]Hawana kosa kwa nchi yetu, section ya 154 ya penal code inatoa adhabu Kwa wanaofanya mapenzi against nature, against nature inamuhusu mwanamke tuu kuingiliwa nyuma hilo ndo kosa. Kwa shoga our law is silent
Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Ulituambia nini mkuu!?Niliwaambia lakini,
Halafu mleta mada ansema yeye ni mwanasheria na amesoma degree,ahahaa[emoji848][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji848]View attachment 2573785
Hiyo NGO imekosekana kweli kwenye list ya mwakiembe!!? Si dhani kama imekosekanaSisambazi vilainishi, nafanya kazi kwenye NGO pia nimejiajiri