kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Tena lazima tuchukue hatu harakaKuna wanaume nawashangaa sana unakuta baba zima limesimamisha kitambi na ndeke zake lina wasemea wanawake utadhani na lenyewe limama, mara ooh! Kuwe na 50 kwa 50 mara ooh! haki sawa, halafu ukilitizama ni jibaba zima kabisa lenye mwili na sijui kuhusu akili
Niwaambie tu ukweli hapa baada ya kuwapambania hao wanawake na wakafika wanapo pataka na wakashika hatamu basi kibao kitageuka na kitageuka haswaa na hapo ndipo mtakapo ziona rangi halisi kabisa za hawa viumbe na ndipo mtakapo jua kwanini mungu aliwapa majukumu yao na wanaume wakapewa majukumu yao
Endeleeni kulazimisha usiku uwe mchana.
Zamu yenuKibao ndio kimeshageuka kama alivyotabiri Shehe Yahya Baada ya Nyota ya Mwanaume kukatizwa itatawala Nyota ya kike hadi CCM itapotoka madarakani
Pamoja Nanyi Bawacha COVID 19Zamu yenu
Sasa hivi mpo juu sanaPamoja Nanyi Bawacha COVID 19
Kileleni dadekiSahivi mpo juu sn
Yahya ndio nani huyo ?Kibao ndio kimeshageuka kama alivyotabiri Shehe Yahya Baada ya Nyota ya Mwanaume kukatizwa itatawala Nyota ya kike hadi CCM itapotoka madarakani
Mtabiri maarufu Africa kwa sasa ni MarehemuYahya ndio nani huyo ?
Ataongoza UWTKileleni dadeki
Halima James Mdee Mwenyekiti Mpya Chadema 😂😂
Kwani Mbowe anang'atuka UWT?!Ataongoza UWT
Halima yupo UWTKwani Mbowe anang'atuka UWT?!
Yuko Bawacha hata Dodoma juzi alichangia gharama za ShereheHalima yupo UWT
Kwanini hakuhudhuria?Yuko Bawacha hata Dodoma juzi alichangia gharama za Sherehe
Alikuwa na majukumu ya kiserikali ila mama Kafulila alihudhuriaKwanini hakuhudhuria?
Aimarishe nguvu UWTAlikuwa na majukumu ya kiserikali ila mama Kafulila alihudhuria