dadamlamayao
JF-Expert Member
- Nov 1, 2022
- 243
- 841
MACHOKO hamjifichi siku hiziI can see arrogance taking place in your subconscious mind.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MACHOKO hamjifichi siku hiziI can see arrogance taking place in your subconscious mind.
Mkuu una kauli za matumaini sanaHilo deni huwa halilipwi kwa pupa/mkupuo acha wakate taratibu unaweza shangaa sera zinabadilika linafutwa lote kama walivyofanya kwenye retention fee. Kiufupi ni deni la kisiasa na kuviziana
Inategemea,me ilipobaki kama 150000/= niliwaibukia mwanza nikaongea nao nikawalipa tena kupita sim tu Kwa Ile control number iliyopo kwenye account yangu ya LOANBORD then siku hiyohyo walinitumia barua ya kumaliza deni nkapeleka utumishi wakafuta deni kwenye mfumoIpo hivi, mimi ni Mtumishi wa Serikali idara elimu, daraja langu ni E, nakatwa kiasi cha laki Moja na elfu arobain na nane mia tano (148,500/) kwa kila mwezi kama malipo ya deni la Bodi ya Mkopo.
Kwa sasa nikisoma deni langu kupitia salary slip ni millioni tatu na nusu. Katika mazungumzo yangu na mwajiriwa wa serikali leo kaniambia anashukuru kamaliza deni la bodi na kanishauri na mimi nifanye mpango wa either kuuza deni ama kuwalipa bank in a lump sum.
Ukitazama hii pesa iliyobaki tafsri ni bodi watanikata hadi 2025, nimebaki njia panda. Ipi njia nzuri na salama ya kumaliza haya makato kwa ushauri wako?
Privacy is power.Usiwe unaongea bahati zako kuwa na akili ya kutunza Siri
Wanakata sawa tu,baada ya miaka 8 ya utumishi hatimae juz wameanza kunikata ,sikuwa na mpango wa kulipa kabisaMimi sijui hata nadaiwa bei gani maana sijawahi kulipa mpaka leo ila nahisi plus riba itakuwa nadaiwa pesa ndefu sana maana nmemaliza kitambo kweli...
Mimi siko kwenye sekta maalum ndio maa sijalipa mpaka leo na ni zaidi ya miaka 9 toka nmalize chuoWanakata sawa tu,baada ya miaka 8 ya utumishi hatimae juz wameanza kunikata ,sikuwa na mpango wa kulipa kabisa
Wewe jamaa lazima utakuwa uligombea ubunge wajumbe wakakupa kura 1,unaonekana kuwa mwanasiasa mtata... Au ni mfuasi wa yule jamaa aliyetuahidi kutupeleka Birmingham kuishi😂Hilo deni huwa halilipwi kwa pupa/mkupuo acha wakate taratibu unaweza shangaa sera zinabadilika linafutwa lote kama walivyofanya kwenye retention fee. Kiufupi ni deni la kisiasa na kuviziana
Mbona ndogo sanahii mil. 11 sijui ntawalipaje na hawataki kuniajiri.
Ofcoz ni ndogo tena sana kama ukiwa nazo mkuu.Mbona ndogo sana
Namaanisha mimi ninadaiwa mara tatu ya hiyoOfcoz ni ndogo tena sana kama ukiwa nazo mkuu.
Kuwa mzalendo ndugu mtanzania, lipa iwasaidie wengine bhanaa!Nilipata boom kwa miaka minne tena in USD na sijawahi kukatwa hilo deni hata siku moja na sitakuja kukatwa,ni mgao wangu wa kuuzwa kwa Bandari yetu
Safi sanaaaSasa hapo nanyanyasika nini, Nina uwezo wa kulipa Hilo deni, na kweli nilisoma kupitia mkopo Sasa ni lazima nilipe I
Hapo kwenye kuviziana unawezashangaa ameviziwa yeye na deni likaongezeka!Hilo deni huwa halilipwi kwa pupa/mkupuo acha wakate taratibu unaweza shangaa sera zinabadilika linafutwa lote kama walivyofanya kwenye retention fee. Kiufupi ni deni la kisiasa na kuviziana
Umeanza kuwalipaNamaanisha mimi ninadaiwa mara tatu ya hiyo
TayariUmeanza kuwalipa