Katkit
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 1,893
- 4,641
hongera sanaTayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hongera sanaTayari
Umemaliza chief.Hakuna bank yenye riba ndogo zaidi ya bodi ya mikopo. Hivyo utalipa zaidi huko bank.
Lengo la kuuza deni huwa ni kukuwezesha kukopa zaidi bank, lakini ujue kuwa overall utalipa fedha nyingi zaidi.
pole sana KitKatdronedrake usinicheke, moyo wangu unavuja damu.
Asante mkuu but Kitkat ni chocolate hii, kwahyo mimi naliwa?pole sana KitKat
😅 😅 😅 yaishe aiseekwahyo mimi naliwa
Kama ana hiyo pesa bora akaiweke kwenye mambo mengine ya msingi, hilo ni deni ambalo ulipe au usilipe hakuna anayekuja kukugongea hodi, na namna ya ukataji wake haina maumivu, usishangae 2025 likatumika kutafutia political milage mgombea wa CCM akalifuta kabisa ili kupata kura za wadanganyikaHapo kwenye kuviziana unawezashangaa ameviziwa yeye na deni likaongezeka!
Kama ana uwezo wa kulipa mwache alipe
hahahahaí ½í¸ í ½í¸ í ½í¸ yaishe aisee
Mimi sijawalipa na sitegemei kulipa.Ipo hivi, mimi ni Mtumishi wa Serikali idara elimu, daraja langu ni E, nakatwa kiasi cha laki Moja na elfu arobain na nane mia tano (148,500/) kwa kila mwezi kama malipo ya deni la Bodi ya Mkopo.
Kwa sasa nikisoma deni langu kupitia salary slip ni millioni tatu na nusu. Katika mazungumzo yangu na mwajiriwa wa serikali leo kaniambia anashukuru kamaliza deni la bodi na kanishauri na mimi nifanye mpango wa either kuuza deni ama kuwalipa bank in a lump sum.
Ukitazama hii pesa iliyobaki tafsri ni bodi watanikata hadi 2025, nimebaki njia panda. Ipi njia nzuri na salama ya kumaliza haya makato kwa ushauri wako?
Nawewe ni jobless labda uwape SUEZ CANALMimi sijawalipa na sitegemei kulipa.
Jobless ninayekula Asubuhi, Mchana, Jioni na Usiku, Hela ya Bando la Airtel la Mwezi sikosi, Hela ya Kutembea Jijini Dar es Salaam kwa Ubber au Bolt ipo, Hela ya Kununua Copy yangu ya Gazeti la The Citizen la Kila Siku na la The East African kila Weekend ipo, Hela ya Kununua Umeme wa LUKU wa Mwezi na Kulipia Bill ya DAWASCO kila Mwezi ipo na angalau Hela ya Kununua Nyama mara Tatu kwa Wilki sikosi.Nawewe ni jobless labda uwape SUEZ CANAL
Na hii reaction yako imethibitisha kuwa nimegusa penyewe. Ubongo wa binadamu ukitoa matusi Ina Mana umepata maumivu unajaribu kumpatia mwenzako maumivu Kama ya kwako. Unapata maumivu kisa umeambiwa ukweli Mana kiasilia brain haipendi ukweli , na ndio Mana ubongo huwa unafanya juu chini kufunika ukweli ili uwe kwenye Hali ya ku relax.MACHOKO hamjifichi siku hizi
Utoa la bodi Halfu unaweka la Benki si ukichaa huo... Kwani yote si mikopo ndg.. au hutaki kuiona heslb Kwa salary slip Yako..Ipo hivi, mimi ni Mtumishi wa Serikali idara elimu, daraja langu ni E, nakatwa kiasi cha laki Moja na elfu arobain na nane mia tano (148,500/) kwa kila mwezi kama malipo ya deni la Bodi ya Mkopo.
Kwa sasa nikisoma deni langu kupitia salary slip ni millioni tatu na nusu. Katika mazungumzo yangu na mwajiriwa wa serikali leo kaniambia anashukuru kamaliza deni la bodi na kanishauri na mimi nifanye mpango wa either kuuza deni ama kuwalipa bank in a lump sum.
Ukitazama hii pesa iliyobaki tafsri ni bodi watanikata hadi 2025, nimebaki njia panda. Ipi njia nzuri na salama ya kumaliza haya makato kwa ushauri wako?