Niwalipe au niuze deni la Bodi ya Mikopo?

Inategemea,me ilipobaki kama 150000/= niliwaibukia mwanza nikaongea nao nikawalipa tena kupita sim tu Kwa Ile control number iliyopo kwenye account yangu ya LOANBORD then siku hiyohyo walinitumia barua ya kumaliza deni nkapeleka utumishi wakafuta deni kwenye mfumo
 
Mimi sijui hata nadaiwa bei gani maana sijawahi kulipa mpaka leo ila nahisi plus riba itakuwa nadaiwa pesa ndefu sana maana nmemaliza kitambo kweli...
Wanakata sawa tu,baada ya miaka 8 ya utumishi hatimae juz wameanza kunikata ,sikuwa na mpango wa kulipa kabisa
 
Hilo deni huwa halilipwi kwa pupa/mkupuo acha wakate taratibu unaweza shangaa sera zinabadilika linafutwa lote kama walivyofanya kwenye retention fee. Kiufupi ni deni la kisiasa na kuviziana
Wewe jamaa lazima utakuwa uligombea ubunge wajumbe wakakupa kura 1,unaonekana kuwa mwanasiasa mtata... Au ni mfuasi wa yule jamaa aliyetuahidi kutupeleka Birmingham kuishi😂
 
Hilo deni huwa halilipwi kwa pupa/mkupuo acha wakate taratibu unaweza shangaa sera zinabadilika linafutwa lote kama walivyofanya kwenye retention fee. Kiufupi ni deni la kisiasa na kuviziana
Hapo kwenye kuviziana unawezashangaa ameviziwa yeye na deni likaongezeka!
Kama ana uwezo wa kulipa mwache alipe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…