Niwaombe serikali pima , chunguza ,then mkanye , Niffer wenda kesho akawa msaada mkubwa katika taifa hili

Niwaombe serikali pima , chunguza ,then mkanye , Niffer wenda kesho akawa msaada mkubwa katika taifa hili

kuchangisha inawezeka hakujua shida inakuja pale alipofahamishwa na majibu yake kwa kiongozi mkuu wa serikali,majibu yake hata mimi mwananchi wa kawaida yamenitisha sana..."i have strong army with me"
OK wenda hii ni agenda nyingine mkuu
 
Sitokua na maneno mengi, ila pamoja heshima zenu kuzingatiwa , nitambue wana jf popote walipo kila mmoja kwa imani yake , Mungu akawe juu yenu.

Poleni na janga la ghorofa Kariakoo ambalo limepelekea kuwapoteza ndugu zetu baadhi na Mungu Mwema atawapumzisha pale panapostahili.

Rejea kichwa tajwa hapo juu , Mh Waziri mkuu uliagiza kukamatwa kwa binti Niffer kutokana na kuchangisha wadau mbalimbali kama sehemu ya kusupport jamii au wafanyakazi wenzake .

Tatizo inakuja kwamba pamoja na nia yake nzuri , au vyovyote vile utasema lakini mchakato wote kwa kiasi flani aliweka wazi japo ipo sheria ambayo haitaki mambo yaende vile , nami nasema hii sheria ni muhimu maana bila hivyo mambo hayawezi kwenda vile ,vibaka wanaweza jipenyeza na kufanya yao, kwa hili nipongeze serikali, na sisi ambao tulikua hatujui sasa tunajua sasa.

Ninao mtazamo binafsi ,na sio lazima kubali mtazamo wangu .

Uyu binti Niffer wenda ametenda kosa akiwa na nia njema kabisa wenda amejikuta katika kutenda kosa bila kutojua , ila mbaya zaidi uyu Niffer japo binafsi namfaham akiwa mdogo pitia kuigiza akiwa na Marehem Kanumba sijawahi kutana nae popote pale ,

Soma Pia:
Ila ni binti mwenye ushawishi mkubwa kwenye jamii that's hata kabla ya hili uyu binti amekua akipigwa vita sana na wapambanaji wenzake ambao wengine ni kama dada zake , mama zake kutoka Kariakoo , na ukiangalia kwa hili kwa jicho lingine ndo hao hao wanapulizia moto ili aweze kualibikiwa zaid.

Niwaombe serikali pima , chunguza ,then mkanye , huyu binti ,wenda kesho akawa msaada mkubwa katika taifa hili kuliko vimbwengo wanaomkandia

Thanks
Ishu ya Niffer sio kubwa kama ya mwenye jengo, mkandarasi na Wote waliohusika kutoa vibali.. Ishu yake haijaua hata sisimizi... Mamlaka zisiwe na double standard..
 
Mizimu ya kisukuma yote iwe upande wa jeni.
mkuu pamoja nakukalipiwa sana na wapumbavu mimi naungana na wewe.
 
Sitokua na maneno mengi, ila pamoja heshima zenu kuzingatiwa , nitambue wana jf popote walipo kila mmoja kwa imani yake , Mungu akawe juu yenu.

Poleni na janga la ghorofa Kariakoo ambalo limepelekea kuwapoteza ndugu zetu baadhi na Mungu Mwema atawapumzisha pale panapostahili.

Rejea kichwa tajwa hapo juu , Mh Waziri mkuu uliagiza kukamatwa kwa binti Niffer kutokana na kuchangisha wadau mbalimbali kama sehemu ya kusupport jamii au wafanyakazi wenzake .

Tatizo inakuja kwamba pamoja na nia yake nzuri , au vyovyote vile utasema lakini mchakato wote kwa kiasi flani aliweka wazi japo ipo sheria ambayo haitaki mambo yaende vile , nami nasema hii sheria ni muhimu maana bila hivyo mambo hayawezi kwenda vile ,vibaka wanaweza jipenyeza na kufanya yao, kwa hili nipongeze serikali, na sisi ambao tulikua hatujui sasa tunajua sasa.

Ninao mtazamo binafsi ,na sio lazima kubali mtazamo wangu .

Uyu binti Niffer wenda ametenda kosa akiwa na nia njema kabisa wenda amejikuta katika kutenda kosa bila kutojua , ila mbaya zaidi uyu Niffer japo binafsi namfaham akiwa mdogo pitia kuigiza akiwa na Marehem Kanumba sijawahi kutana nae popote pale ,

Soma Pia:
Ila ni binti mwenye ushawishi mkubwa kwenye jamii that's hata kabla ya hili uyu binti amekua akipigwa vita sana na wapambanaji wenzake ambao wengine ni kama dada zake , mama zake kutoka Kariakoo , na ukiangalia kwa hili kwa jicho lingine ndo hao hao wanapulizia moto ili aweze kualibikiwa zaid.

Niwaombe serikali pima , chunguza ,then mkanye , huyu binti ,wenda kesho akawa msaada mkubwa katika taifa hili kuliko vimbwengo wanaomkandia

Thanks

Hakuna Sababu hata ya kumhoji
 
Ni mawazo yangu,niffer hakujua sheria,na sijui nia yake,helaa zichukuliwe na serekali,mumuache huru....ila serekali ina mfuko wa maafa,kwanini tena tuchangie?hizi hela zinaenda wapi?nikazi ya serekali....ila mtu anatoa kwa upendo wake ajaibiwa wala kulazimishwa....kwanini serekali inaingilia,
 
Pesa alizopokea zitaliwa nao na Taifa Stars nao wamepewa 700m. Ya Maafa haisemwi.

Niffer Oyeeeee
 
Hiyo labda iwe serikali ya kijiji sio serikali ya tanganyika..............yaani niffer kageuka tanzanite au gesi au dhahabu ndio aje kuwa msaada kwa raia milioni 60..........Acha mbanga wewe
 
Hiyo labda iwe serikali ya kijiji sio serikali ya tanganyika..............yaani niffer kageuka tanzanite au gesi au dhahabu ndio aje kuwa msaada kwa raia milioni 60..........Acha mbanga wewe
Wewe mpaka mda huu umeifanyia nini jamii yako inayo kuzunguka Achana na nchi ? Kimbwengu mzoefu
 
Kosa la huyo Muhaya ni kukosa adabu hawezi kumfokea PM.
Anataka tuwatume TRA wafuatilie biashara zake au hajui tunajua kuhusu biashara ya Ice toka China
 
Back
Top Bottom