4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
- Thread starter
- #41
Mostly are Vimbwengos suffering with this young ladyWhat's wrong with you people😹😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mostly are Vimbwengos suffering with this young ladyWhat's wrong with you people😹😹😹
Punguza jazba. Husipende kusikia tu vinavyofurahisha moyo wako, pokea vyote. Acha sindano iingie.Pumbavu, hu kimbwengo, nimesema mapema vimbwengo pita kushoto na mada hii , acheni wenye tafakuri ya kina wajibu
Nakuelewa sana mkuu , sasa kuna vimbengo kwa chuki binafsi na uyu binti ,wanatumia mwanya huu wa taifa ikiwa kwenye majonzi penyeza uvimbwengo wao , wajinga sana hawa , nimeo hata huyu mama ,mtangazaji wa TBc bila kujali wapi ametokea mpaka kufika pale anamkandia uyu binti , uvimbengo mtupuIshu ya Niffer sio kubwa kama ya mwenye jengo, mkandarasi na Wote waliohusika kutoa vibali.. Ishu yake haijaua hata sisimizi... Mamlaka zisiwe na double standard..
Sindano ipi? Uzi huu kama hu kimbwengo usichangie ,acha wenye tafakuri wachangie , nchi hii vimbwengo mpo na shida sanaPunguza jazba. Husipende kusikia tu vinavyofurahisha moyo wako, pokea vyote. Acha sindano iingie.
Yani kusema ilikua ni ndoto yake kutamkwa na kiongozi mkuu wa nchi yake , ndo kumfokea kiongonzi? Wewe mara ya mwisho jina lako tamkwa na mwenyekiti wa mtaa wako ilikua lini, why asifulahi kwanza jina lake tamkwa na kiongozi mkuu katika nchi kama waziri mkuu , kimbwengo weweKosa la huyo Muhaya ni kukosa adabu hawezi kumfokea PM.
Anataka tuwatume TRA wafuatilie biashara zake au hajui tunajua kuhusu biashara ya Ice toka China