4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
- Thread starter
-
- #21
OK wenda hii ni agenda nyingine mkuukuchangisha inawezeka hakujua shida inakuja pale alipofahamishwa na majibu yake kwa kiongozi mkuu wa serikali,majibu yake hata mimi mwananchi wa kawaida yamenitisha sana..."i have strong army with me"
Vipi mama yako hajambo?Hii ni nje ya mada kama lipo lingine leta mada tujadili
Umejuaje kama ni muigizaji kumbe wamfahamHuyo muigizaji ni nani vile
Ishu ya Niffer sio kubwa kama ya mwenye jengo, mkandarasi na Wote waliohusika kutoa vibali.. Ishu yake haijaua hata sisimizi... Mamlaka zisiwe na double standard..Sitokua na maneno mengi, ila pamoja heshima zenu kuzingatiwa , nitambue wana jf popote walipo kila mmoja kwa imani yake , Mungu akawe juu yenu.
Poleni na janga la ghorofa Kariakoo ambalo limepelekea kuwapoteza ndugu zetu baadhi na Mungu Mwema atawapumzisha pale panapostahili.
Rejea kichwa tajwa hapo juu , Mh Waziri mkuu uliagiza kukamatwa kwa binti Niffer kutokana na kuchangisha wadau mbalimbali kama sehemu ya kusupport jamii au wafanyakazi wenzake .
Tatizo inakuja kwamba pamoja na nia yake nzuri , au vyovyote vile utasema lakini mchakato wote kwa kiasi flani aliweka wazi japo ipo sheria ambayo haitaki mambo yaende vile , nami nasema hii sheria ni muhimu maana bila hivyo mambo hayawezi kwenda vile ,vibaka wanaweza jipenyeza na kufanya yao, kwa hili nipongeze serikali, na sisi ambao tulikua hatujui sasa tunajua sasa.
Ninao mtazamo binafsi ,na sio lazima kubali mtazamo wangu .
Uyu binti Niffer wenda ametenda kosa akiwa na nia njema kabisa wenda amejikuta katika kutenda kosa bila kutojua , ila mbaya zaidi uyu Niffer japo binafsi namfaham akiwa mdogo pitia kuigiza akiwa na Marehem Kanumba sijawahi kutana nae popote pale ,
Soma Pia:
Ila ni binti mwenye ushawishi mkubwa kwenye jamii that's hata kabla ya hili uyu binti amekua akipigwa vita sana na wapambanaji wenzake ambao wengine ni kama dada zake , mama zake kutoka Kariakoo , na ukiangalia kwa hili kwa jicho lingine ndo hao hao wanapulizia moto ili aweze kualibikiwa zaid.
- Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria
- Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa
Niwaombe serikali pima , chunguza ,then mkanye , huyu binti ,wenda kesho akawa msaada mkubwa katika taifa hili kuliko vimbwengo wanaomkandia
Thanks
Sitokua na maneno mengi, ila pamoja heshima zenu kuzingatiwa , nitambue wana jf popote walipo kila mmoja kwa imani yake , Mungu akawe juu yenu.
Poleni na janga la ghorofa Kariakoo ambalo limepelekea kuwapoteza ndugu zetu baadhi na Mungu Mwema atawapumzisha pale panapostahili.
Rejea kichwa tajwa hapo juu , Mh Waziri mkuu uliagiza kukamatwa kwa binti Niffer kutokana na kuchangisha wadau mbalimbali kama sehemu ya kusupport jamii au wafanyakazi wenzake .
Tatizo inakuja kwamba pamoja na nia yake nzuri , au vyovyote vile utasema lakini mchakato wote kwa kiasi flani aliweka wazi japo ipo sheria ambayo haitaki mambo yaende vile , nami nasema hii sheria ni muhimu maana bila hivyo mambo hayawezi kwenda vile ,vibaka wanaweza jipenyeza na kufanya yao, kwa hili nipongeze serikali, na sisi ambao tulikua hatujui sasa tunajua sasa.
Ninao mtazamo binafsi ,na sio lazima kubali mtazamo wangu .
Uyu binti Niffer wenda ametenda kosa akiwa na nia njema kabisa wenda amejikuta katika kutenda kosa bila kutojua , ila mbaya zaidi uyu Niffer japo binafsi namfaham akiwa mdogo pitia kuigiza akiwa na Marehem Kanumba sijawahi kutana nae popote pale ,
Soma Pia:
Ila ni binti mwenye ushawishi mkubwa kwenye jamii that's hata kabla ya hili uyu binti amekua akipigwa vita sana na wapambanaji wenzake ambao wengine ni kama dada zake , mama zake kutoka Kariakoo , na ukiangalia kwa hili kwa jicho lingine ndo hao hao wanapulizia moto ili aweze kualibikiwa zaid.
- Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria
- Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa
Niwaombe serikali pima , chunguza ,then mkanye , huyu binti ,wenda kesho akawa msaada mkubwa katika taifa hili kuliko vimbwengo wanaomkandia
Thanks
Pumbavu, hu kimbwengo, nimesema mapema vimbwengo pita kushoto na mada hii , acheni wenye tafakuri ya kina wajibuHaya Niffer tumekusikia.
Wewe mpaka mda huu umeifanyia nini jamii yako inayo kuzunguka Achana na nchi ? Kimbwengu mzoefuHiyo labda iwe serikali ya kijiji sio serikali ya tanganyika..............yaani niffer kageuka tanzanite au gesi au dhahabu ndio aje kuwa msaada kwa raia milioni 60..........Acha mbanga wewe
Kumbe nawe kimbwenguVipi mama yako hajambo?
Mostly are Vimbwengo suffering with this young ladyWhat's wrong with you people😹😹😹
Anapambana na uyu binti abajua utu,Niffer unahangaika!!!