huyo mke ulimuoa wewe au walioa ndugu zako?
hayo ndo matatizo ya ndoa za kiafrica, mwanamke akiolewa ukoo mzima unafikiri umemuoa, kila mtu atapanga sheria na kanuni zake juu ya mwanamke.....
la hasha, ndoa ni watu wawili, wewe na mkeo hakuna cha mama, baba, wala ndugu, mama na baba wana ndoa yao wakaijenge , kaka ana ndoa yake akaijenge na kama hajaoa aoe ashughulike na ndoa yake, wewe una ndoa yake simama kama mwanaume ufanye maamuzi.... ukipelekeshwa na ndugu utawezaje kusimamia nyumba yako?
angalizo:
unless mke awe amekufanya jambo baya, mfano kukusagia chupa kwenye ugali, au umemfumania nk.........
ila kama ni migongano midogo midogo hebu mrudishe