Niwezeshe kutimiza ndoto yangu


Natanguliza shukrani kwa mchango wako; kwa mtazmo huu naamini tutafika tunapotaka kufika.
 

Mi nakuahidi buku kumi, nishitue jioni nikurushie voda. Kwa habari za KILIMOTZ,mambo ni mazuri hata sijui nikuelezeje. msimu uliopita ulioishia april tumeotesha miti ya mbao isiyopungua milioni moja na ushee. msimu ujao lengo tupande miti milioni mbili hivi na ushee. Yaani baadae tuje tuwe akina SAO HILL ktk biashara ya mbao.

Naomba nikutie moyo, Watz hela wanayo, kama utafanikiwa kuonyesha matumizi sahihi ya michango yao,naamini utafunika sana. Haya nayaona kupitia KILIMOTZ.
 

Mkuu MALILA, Natanguliza shukrani kwa mchango wako; kuhusu KILIMOTZ kwa kweli nimekuwa nikipata updates na ninaona mafanikio ya kazi njema uliyoanzisha, ubarikiwe sana kaka. Nimedhamiriwa kuweka taarifa zote hapa ikiwa ni pamoja na michango nitakayopokea na matumizi yake, pamoja na hatua za utekelezaji.
 
Mkuu Mgombezi, na mimi nitakuomba mbegu fupi chache, za kupanda hapo nyumbani kwangu.
Nimejaribu sana kupanda mipapai kwangu Dar lakini inarefuka tuu haizai, sijui tatizo nini. Mbegu huwa natumia za mapapai ninayokula hapo kwangu.
any tips
 
Mkuu Mgombezi, na mimi nitakuomba mbegu fupi chache, za kupanda hapo nyumbani kwangu.
Nimejaribu sana kupanda mipapai kwangu Dar lakini inarefuka tuu haizai, sijui tatizo nini. Mbegu huwa natumia za mapapai ninayokula hapo kwangu.
any tips

Mkuu MUHINDA; mimi nimeshauriwa kununua mbegu (hybrid seed) katika duka la mbegu, kwani zina uhakika wa kutoa mazao. Nikirudi tena katika duka ninalotaka kununua mbegu basi nitakuletea jina la hizo mbegu, kwani nilienda kwa kupata taarifa za awali, wakati nafanya upembuzi yakinifu.
 
Sina comment zaidi kwa hili zaidi ya kukuchangia ili utimize ndoto zako.

Nitatoa kamchango kangu sikubali kuwa sehemu ya wale wanaokatisha tamaa wenzao ila nitakuwa upande wa wale wanao watia moyo wale wanaothubutu kama wewe.
 
Mkuu nimekurushia 5000. Komaa na kazi nitakuja kujifunza kwako nimeshanunua shamba tayari. Nimeanza kupanda miti kidogo ila nahitaji uwezo/uzoefu kutoka kwa wanaJF.

May God bless your work.
 
Sina comment zaidi kwa hili zaidi ya kukuchangia ili utimize ndoto zako.

Nitatoa kamchango kangu sikubali kuwa sehemu ya wale wanaokatisha tamaa wenzao ila nitakuwa upande wa wale wanao watia moyo wale wanaothubutu kama wewe.

Natanguliza shukrani, Mkuu PETER; vile vile nashukuru kwa mtazamo wako huo wa kuwatia moyo wale wanaothubutu.
 
Hongera kaka, l am very much touched. Nimekurushia kidogo nilichokuwanacho Mpesa. 10,000 tu!

Asante for sharing!
 
Mkuu nimekurushia 5000. Komaa na kazi nitakuja kujifunza kwako nimeshanunua shamba tayari. Nimeanza kupanda miti kidogo ila nahitaji uwezo/uzoefu kutoka kwa wanaJF.

May God bless your work.

Mkuu AMKAWEWE, Nashukuru kwa mchango wako. Karibu sana, nitaweka kila hatua; naamini utapata kujifunza.
 
Hongera kaka, l am very much touched. Nimekurushia kidogo nilichokuwanacho Mpesa. 10,000 tu!

Asante for sharing!

Nakushukuru KAUNGA, haba na haba hujaza kibaba.
 
Hiyo tigo,voda au airtel yako umeandika wapi nikurushie buku zako.

Zipo katikati ya maelezo, hizi hapa:

TIGO PESA - 0714 460528 or M - PESA - 0757 941044

Natanguliza shukrani Mkuu.
 
Papai linaweza kutoa paroducts nyingi; bado nahitaji Tsh. 4,935,000/=, kati ya Tsh. 4,970,000/= nilizoomba kwa jamii ili niweze kuanza mradi huu. NIWEZESHE..........!!!

HOMEMADE SKIN CARE FACIALS WITH PAPAYA:
View attachment 55721

Ingredients:

1 cup fresh pineapple

Half-a-cup fresh papaya

1 tablespoon honey

Puree fruit together. Add honey and mix into a smooth paste.

Pineapple and papaya contain natural enzymes and alpha-hydroxy acids that remove dead skin cells while the honey moisturizes the skin. Leave mask on 15 to 20 minutes. Rinse completely.
 
Samahani,
yaani hizo 5,000 ni kama hisa za kua member, au mchango tu wa hiyari but kwenye mavuno hatumo.
 
Mkuu, mgombezi, hakika wewe ni mfano bora kwa wajasiraimali , nkupa pongezi, kweli kabisa bajeti yangu ya kuchangia harusi mwezi huu nakupa wewe, pokea tsh 20,000/= japo kuwa ni kidogo najua kitakufaa sana.
 
Awesome... Awesome kaka mgombezi....ntafuatilia maendeleo ya mradi wako kwa ukaribu niboreshe na kwangu mkuu.. count me in katika fundraising yako...
 
Mkuu, mgombezi, hakika wewe ni mfano bora kwa wajasiraimali , nkupa pongezi, kweli kabisa bajeti yangu ya kuchangia harusi mwezi huu nakupa wewe, pokea tsh 20,000/= japo kuwa ni kidogo najua kitakufaa sana.

Mkuu MIUONDOMBINU, nakushukuru kwa mchango wako; umepokelewa.
 
Samahani,
yaani hizo 5,000 ni kama hisa za kua member, au mchango tu wa hiyari but kwenye mavuno hatumo.

Mkuu SHARK, nashukuru kwa swali lako; hapa naomba mchango wa hiyari zaidi; bali kuna option ya kutoa order ya mapapai na kulipia awali, lakini hii ni kwa wale wanaoishi dodoma mjini. Kiwango cha chini kwa order ni mapapai 10 na kila papai kwa bei ya Tsh. 500/=; nita - deliver hayo mapapai FEB 2013 wakati wa mavuno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…