Barnabas Mashamba
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 797
- 2,233
Habari mwana jamvi.
Nimeitwa kwenye interview (Ardhi University) kama inavyoonyesha hapo chini.
Nimepeleza kiasi shilingi za kitanzania takribani 90,000/= ili niweze kufika mahali pa usaili (kutoka Geita).
Kwa yeyote atakayehitaji kunishika mkono katika hili niwezeshe kupitia
M - PESA namba 0756759623 (jina Barnabas Mashamba).
Update 1
Kuna mdau kanitumia 15,000/=, thanks much.
Update 2
Kuna mdau mwingine ametuma Tsh 10,000/= thanks much.
Imefika Tsh 25,000/= bado Tsh 65,000/=
Nimeitwa kwenye interview (Ardhi University) kama inavyoonyesha hapo chini.
Kwa yeyote atakayehitaji kunishika mkono katika hili niwezeshe kupitia
M - PESA namba 0756759623 (jina Barnabas Mashamba).
Update 1
Kuna mdau kanitumia 15,000/=, thanks much.
Update 2
Kuna mdau mwingine ametuma Tsh 10,000/= thanks much.
Imefika Tsh 25,000/= bado Tsh 65,000/=