goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Una kiburi hatari nilitaka nikutumie 20k ila acha nikale samaki ferryNamjibu mtu kulingana na ujinga aliokuja nao. Mimi nimeleta uzi wa wezesho la kufika interview siyo mtu aniambie bla bla za JF ni kubwa ama ndogo.
Na ninavyojua, ajira inapatika kutokana na performance kwenye interview.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app