Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Dude, there is a very thin line between confidence and arrogance. Right now you are being arrogant; so much so for a person in need of help. Kuwa mpole kijana, dhihaka na majivuno havijengi. Si kila anaekushauri ana nia mbaya. Na kumbuka umeweka majina yako kamili usije kustaajabu mmoja wa wahusika wa huko ulikoitwa yumo humu na pengine ndie unaejibu comment zake.Hahahahaha, hiyo ni win win situation. Mimi nitatoa ujuzi wangu kwa mafanikio ya chuo, nami nitakuwa nalamba asali kupitia mshahara. Au kwa mawazo yako unadhani atakayefaulu huo usaili atatoa output bila ya yeye kupata input.
Umeeleweka mkubwa. Sema nimejiandikia huu uzi nikiwa na malengo yangu.Dude, there is a very thin line between confidence and arrogance. Right now you are being arrogant; so much so for a person in need of help. Kuwa mpole kijana, dhihaka na majivuno havijengi. Si kila anaekushauri ana nia mbaya. Na kumbuka umeweka majina yako kamili usije kustaajabu mmoja wa wahusika wa huko ulikoitwa yumo humu na pengine ndio unaejibu comment zake.
dah, TA unayetegemewa wewe na akili hiziCouldn't say it any better. Umemaliza mkuu.
Aidha kwa kuhisi anaweka ucomedy ama kwa kutokujua tu uandishi wake hasa kichwa cha habari kimepotosha maana nzima ya uzi wenyewe.
Maana hasa ya kichwa cha habari ni kumvutia msomaji kusoma maudhui mazima ya habari. Sasa kwa mtu mzima asielewa lugha za kihuni akishaona kulamba asali anautoa maanani uzi wenyewe na kuupuza kabisa.
Hahahahaha, akili gani hizi mkuu? Tehedah, TA unayetegemewa wewe na akili hizi
Huyo panelist atakuwa shetani. Kipi hasa alichofanya kibaya kinachostahili kumnyima fursa iwapo ana qualify kwa nafasi aliyoomba? Watz mnapenda uungu utu sana mtu awe dhalili chini yako kwa kila hali ili astahili kilicho chake? Wtf...mnyime hiyo nafasi ila kama ipo ipo tu atapata kwingineko siku yake ikifikaDude, there is a very thin line between confidence and arrogance. Right now you are being arrogant; so much so for a person in need of help. Kuwa mpole kijana, dhihaka na majivuno havijengi. Si kila anaekushauri ana nia mbaya. Na kumbuka umeweka majina yako kamili usije kustaajabu mmoja wa wahusika wa huko ulikoitwa yumo humu na pengine ndie unaejibu comment zake.
Jifunze kusoma ukaelewa ndugu kabla kukurupuka kujibu japo ni haki yako ya kikatiba.Huyo panelist atakuwa shetani. Kipi hasa alichofanya kibaya kinachostahili kumnyima fursa iwapo ana qualify kwa nafasi aliyoomba? Watz mnapenda uungu utu sana mtu awe dhalili chini yako kwa kila hali ili astahili kilicho chake? Wtf...mnyime hiyo nafasi ila kama ipo ipo tu atapata kwingineko siku yake ikifika
Huenda ni mwenyekiti wa wajinga, umeridhika?We jamaa mbona kama mjinga mjinga flani hivi..,
Hujaandika calculus kwamba nisome mara kumikumi ili nielewe. Acheni umungu mtu damit..mpe mtu anachostahili. Achana na kumprofile mtu na kujudge..Jifunze kusoma ukaelewa ndugu kabla kukurupuka kujibu japo ni haki yako ya kikatiba.
Wapi nilipoandika kuwa atanyimwa fursa? Anyways kila mmoja na lake kikubwa uhai.
Wenye kuita watu kwenye interview waliandika hivi ifuatavyoJifunze kusoma ukaelewa ndugu kabla kukurupuka kujibu japo ni haki yako ya kikatiba.
Wapi nilipoandika kuwa atanyimwa fursa? Anyways kila mmoja na lake kikubwa uhai.
Hiyo kazi utapata kama Chuwa amestaafu ila kama yupo sahau, anaajiri wachaga tu, kama vipi fatilia rekodi za walioajiriwa kipindi cha utawala wake uoneHabari mwana jamvi.
Nimeitwa kwenye interview (Ardhi University) kama inavyoonyesha hapo chini.
View attachment 2373430Nimepeleza kiasi shilingi za kitanzania takribani 90,000/= ili niweze kufika mahali pa usaili (kutoka Geita).
Kwa yeyote atakayehitaji kunishika mkono katika hili niwezeshe kupitia
M - PESA namba 0756759623 (jina Barnabas Mashamba).
Ni dhahiri umekaa kishari maana sioni hasa kinachokufanya upanic. Ulichoandika ndio ukomo wa fikra na uelewa wako. Kwa upande wangu mjadala nishaufunga kama kuna la ziada ni la kwako. Uwe na asubuhi njema yenye baraka tele.Hujaandika calculus kwamba nisome mara kumikumi ili nielewe. Acheni umungu mtu damit..mpe mtu anachostahili. Achana na kumprofile mtu na kujudge..
Check huyu naye, nimekuja kuomba wezesho la nauli siyo ushauri wa kama nitapata kazi ama la.Hiyo kazi utapata kama Chuwa amestaafu ila kama yupo sahau, anaajiri wachaga tu, kama vipi fatilia rekodi za walioajiriwa kipindi cha utawala wake uone
Hakuna sehemu niliyosema JF ni ndogo.Kuwa mpole jf ni kubwa io heading inakuponza mzee
Yani unataka chuo kikuajiri na uzi wako wa kuomba nauli humu? Wanafunzi wako watarajiwa wako wanasoma lecturer anaomba nauli. We jamaa!Hahahahaha, na inawezekana hata hapa nipo kichawa zaidi.
Dah, kwa hiyo enzi ukiwa mwanafunzi ulijua walimu ni walizaliwa na pesa?Yani unataka chuo kikuajiri na uzi wako wa kuomba nauli humu? Wanafunzi wako watarajiwa wako wanasoma lecturer anaomba nauli. We jamaa!
Sasa unaweza deal aje na watu kama unamajib ya ovyo mzee we ukienda pale ukapewa win nimekaa paleeHakuna sehemu niliyosema JF ni ndogo.
Na wengine pia watakuwa na malengo mengine unadhani dunia nzima Yuko objective na unachokiwaza kila binadamu Ni subjective kwa lengo ama wazo. Yaani Ni Bora ungekomaa kwa ku hide your id mtu akitaka ushahidi unampatia huo ushahidi.malengo yangu.
Namjibu mtu kulingana na ujinga aliokuja nao. Mimi nimeleta uzi wa wezesho la kufika interview siyo mtu aniambie bla bla za JF ni kubwa ama ndogo.Sasa unaweza deal aje na watu kama unamajib ya ovyo mzee we ukienda pale ukapewa win nimekaa palee