Niyonzima 100%,jina latumwa TFF

Hadi sasa ni dakika ya 19' SIMBA 2-0 YANGA... .magoli yamefungwa na John boko dk ya 3 na Mzamiru Yasini dk ya 11 baada ya kuunganisha mpira uliotemwa na golikipa wa Yanga.........

MSIOGOPE TUNAWEKA MITAMBO SAWA.
 
Nani aliyewadanganya kuwa huu ndio wakati wa kutuma majina ya usajili TFF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…