mkulu senkondo
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,862
- 3,574
Hadi sasa ni dakika ya 19' SIMBA 2-0 YANGA... .magoli yamefungwa na John boko dk ya 3 na Mzamiru Yasini dk ya 11 baada ya kuunganisha mpira uliotemwa na golikipa wa Yanga.........
MSIOGOPE TUNAWEKA MITAMBO SAWA.
MSIOGOPE TUNAWEKA MITAMBO SAWA.