Njaa Arusha; watu waanza kuiba hadi ugali Meru

Njaa Arusha; watu waanza kuiba hadi ugali Meru

Mtoa mada mmbea or else ni huko Arumeru kwao ndio kuna shida.. ama ni mimi sijichanganyi sana…

Me naona Arusha City tuko kawaida tu, ukiondoa suala la mchele.. unga sijui, huu mwaka wote sijawahi nunua unga dukani.
Nb-meru hadi tunavyoongea kuna mahindi mabichi mashambani mboga mboga karibia zote zinazoliwa hapo mjini si zina toka meru wakuu? Kila siku ma guta yanashusha ndizi mjini yakitokea hukohuko meru, au unazungumzia meru ya Kenya mkuu?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
hivi mbona sijaona huo mchele wa 3500 mpka sasa au nyie mnanunua mchele kwenye super market nn maana nanunua mchele umenyooka 2200 huo wa 3500 ni wakupikia mbinguni nn
Acha uongo inaelekea hujanunua mchele mwaka huu.

Mchele wa Usa river ambao miaka yote huishia bei ya juu 1,200 kwasasa mashineni ni 2600.
Kahama nzuri na mbeya ni 3500...nenda hata Tengeru sokoni ulete majibu hapa.
Unakulaga chenga wewe😂😂
 
Mtoa mada mmbea or else ni huko Arumeru kwao ndio kuna shida.. ama ni mimi sijichanganyi sana…

Me naona Arusha City tuko kawaida tu, ukiondoa suala la mchele.. unga sijui, huu mwaka wote sijawahi nunua unga dukani.
Sasa wewe sista duu unasema hujanunua huku unabisha? Nenda dukani ujionee maajabu
 
mtoa mada hana uongo wowote..

wamasai wanatoka huko njia ya longido wanakuja kuomba chakuka kwenye mageti ya watu....ukiwapa hata unga nusu kl wanapiga goti kushukuru...

pengine hali bado haijawa mbya zaidi kwenye eneo unaloishi..
Wale vijana.huwa najiuliza sana, atakuambia ametoka Ngarenanyuki ukimuangalia ni mdogo na hapo ni saa tisa unawaza atarudi na kufika kwao saa ngapi.

Kuna maeneo Meru ukame unatisha na kuna maeneo Meru daily kunanyesha mvua
 
hivi mbona sijaona huo mchele wa 3500 mpka sasa au nyie mnanunua mchele kwenye super market nn maana nanunua mchele umenyooka 2200 huo wa 3500 ni wakupikia mbinguni nn
Mkuu nunua Mchele bora upate radha kamili ya wali kama hela ya kununua ipo kama haipo wacha tuendelee kula hizi chenga zetu mada za kuchambua ubora wa mchele sijui wa kamsamba,kyela au mbarali tuwaachie wasiiogopa bei pana mashine moja pale Iyunga Mbeya 20kg walikua wanauza tsh 60,000 hapo Ndovu Arusha mchele super wa Mbeya umefika 3500..kuweza kujua huu mchele mzuri na huu mbaya inatakiwa uujue Mchele kweli..
 
Back
Top Bottom