Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kisa chako kisicho na miguu, imenibidi kubofya avatar yako kwa taarifa zaidi [emoji848]Matukio ni mengi;
Nishawahi kuvua samaki wa mtoni na nikawala wakiwa wabichi vilevile.
Kuna siku nyingine njaa ilinipiga sana, nikawa napitapita sehemu usiku kama saa 6, nikasikia harufu ya mkate wa ngano unaiva, ikabidi niingie kwenye kale kajiko na nikaona mlango umeegeshwa tu, basi nikazama ndani.
Nilivyoingia ndani nikakuta kweli bwana mkate ndio unaiva ule mkaa wa juu ndio unazimazima, sasa kwa furaha niliyokuwa nayo ikabidi niimbe kidogo wimbo wa kikongo MUZINAAA. Sasa kumbe kuna jamaa anaitwa ...... na yeye alikuwa amezamia kwenye hicho kijiko na yeye alikuwa anasaka mkate sema alijificha alivyoona naingia alijua ni mwenye nyumba.
Kwa hiyo nilivyoimba Muzinaaa, nikashangaa mtu anaujibu wimbo huku anacheka. Basi pale tukaanza kupiga stori utafikiri tupo kwetu.
Jamaa alikuwa na sado ya togwa ya moto alisema kuna mahali amekwapua usiku uleule.
Sema mimi nilivyoshiba nikamwacha palepale manake nasikia alikuwa na kawaida ya kujisaidia haja kubwa kwenye majiko ya watu akishashiba menyu.
Mimi nipo nazurura tu mitaa yote.wewe upo mtaa gani?
Mtoto mzuri hujui njaa kabisa.Poleni
hahahahaEndekeza Njaa uje ukalie msumari wa nyama.
Yani hata rangi yake siifahamu mkaka tall dark skin.Mtoto mzuri hujui njaa kabisa.
Njaa ya usiku sitaisahau inauma alafu hakuna msosi usiku unakuwa mrefu sana[emoji3]Siku moja nimepiga mapombe yangu kuanzia sa4 asubuhi hadi sa4 usiku sikula chochote sio kwamba nilikua sina hela sema akili za pombe zinaniambia, acha ujinga usile wewe umeshiba.
Basi bwana nikarudi kiotani kulala ile imefika sa8 natetemeka njaa jasho linatoka Dunia nzima nikajitahidi kuamka nikakata kachumbari ya nyanya mbili na vitungu vitano ndio vilivyoniokoa plus maji ya kunywa lita mbili.
[emoji26][emoji26][emoji24][emoji24]. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu wamepitia mengi sana, ushawahi kufikiria mtu ana njaa hadi anajifunga jiwe kwenye tumbo au analala kifudifudi ili abinye tumbo usiku upite au yale makoko ya ugali yanalowekwa maji ili kesho asubuh iwe ndo breakfast...
Daah qmmk [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Matukio ni mengi;
Nishawahi kuvua samaki wa mtoni na nikawala wakiwa wabichi vilevile.
Kuna siku nyingine njaa ilinipiga sana, nikawa napitapita sehemu usiku kama saa 6, nikasikia harufu ya mkate wa ngano unaiva, ikabidi niingie kwenye kale kajiko na nikaona mlango umeegeshwa tu, basi nikazama ndani.
Nilivyoingia ndani nikakuta kweli bwana mkate ndio unaiva ule mkaa wa juu ndio unazimazima, sasa kwa furaha niliyokuwa nayo ikabidi niimbe kidogo wimbo wa kikongo MUZINAAA. Sasa kumbe kuna jamaa anaitwa ...... na yeye alikuwa amezamia kwenye hicho kijiko na yeye alikuwa anasaka mkate sema alijificha alivyoona naingia alijua ni mwenye nyumba.
Kwa hiyo nilivyoimba Muzinaaa, nikashangaa mtu anaujibu wimbo huku anacheka. Basi pale tukaanza kupiga stori utafikiri tupo kwetu.
Jamaa alikuwa na sado ya togwa ya moto alisema kuna mahali amekwapua usiku uleule.
Sema mimi nilivyoshiba nikamwacha palepale manake nasikia alikuwa na kawaida ya kujisaidia haja kubwa kwenye majiko ya watu akishashiba menyu.