lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Write your reply...si ungekoroga tu uchi kama atamkavyo bibi yangu ahhhh sorry uji tu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niliwahi Kaa siku 4 nakula mara moja kwa siku bila kushiba, sababu ya kukosa hela, jioni nakunywa maji mengi ili njaa isiume usiku, usiku wa manane nilipata kichefuchefu cha njaa nikawa natapika maji.
Nimecheka sanaMatukio ni mengi;
Nishawahi kuvua samaki wa mtoni na nikawala wakiwa wabichi vilevile.
Kuna siku nyingine njaa ilinipiga sana, nikawa napitapita sehemu usiku kama saa 6, nikasikia harufu ya mkate wa ngano unaiva, ikabidi niingie kwenye kale kajiko na nikaona mlango umeegeshwa tu, basi nikazama ndani.
Nilivyoingia ndani nikakuta kweli bwana mkate ndio unaiva ule mkaa wa juu ndio unazimazima, sasa kwa furaha niliyokuwa nayo ikabidi niimbe kidogo wimbo wa kikongo MUZINAAA. Sasa kumbe kuna jamaa anaitwa ...... na yeye alikuwa amezamia kwenye hicho kijiko na yeye alikuwa anasaka mkate sema alijificha alivyoona naingia alijua ni mwenye nyumba.
Kwa hiyo nilivyoimba Muzinaaa, nikashangaa mtu anaujibu wimbo huku anacheka. Basi pale tukaanza kupiga stori utafikiri tupo kwetu.
Jamaa alikuwa na sado ya togwa ya moto alisema kuna mahali amekwapua usiku uleule.
Sema mimi nilivyoshiba nikamwacha palepale manake nasikia alikuwa na kawaida ya kujisaidia haja kubwa kwenye majiko ya watu akishashiba menyu.
Matukio ni mengi;
Nishawahi kuvua samaki wa mtoni na nikawala wakiwa wabichi vilevile.
Kuna siku nyingine njaa ilinipiga sana, nikawa napitapita sehemu usiku kama saa 6, nikasikia harufu ya mkate wa ngano unaiva, ikabidi niingie kwenye kale kajiko na nikaona mlango umeegeshwa tu, basi nikazama ndani.
Nilivyoingia ndani nikakuta kweli bwana mkate ndio unaiva ule mkaa wa juu ndio unazimazima, sasa kwa furaha niliyokuwa nayo ikabidi niimbe kidogo wimbo wa kikongo MUZINAAA. Sasa kumbe kuna jamaa anaitwa ...... na yeye alikuwa amezamia kwenye hicho kijiko na yeye alikuwa anasaka mkate sema alijificha alivyoona naingia alijua ni mwenye nyumba.
Kwa hiyo nilivyoimba Muzinaaa, nikashangaa mtu anaujibu wimbo huku anacheka. Basi pale tukaanza kupiga stori utafikiri tupo kwetu.
Jamaa alikuwa na sado ya togwa ya moto alisema kuna mahali amekwapua usiku uleule.
Sema mimi nilivyoshiba nikamwacha palepale manake nasikia alikuwa na kawaida ya kujisaidia haja kubwa kwenye majiko ya watu akishashiba menyu.
Daaaah pole Sana mkuu ila natamani ungeendelea kusimulia yaliyoendelea.Nilimaliza form four nikahama mkoa kwenda kutafuta life.Wakuu jamaa nilienda nae alikuwa mshikaji wangu ile tunafika huo mkoa akaniibia begi langu la nguo na kupotea.Mi nilikuwa mgeni basi kufupisha nilipigwa na njaa nikapita sehemu kuna mti una maembe ila bado machanga hayana hata kokwa nilikula yale maembe meno yote yakafanya ganzi na mdomo ukafanya ganzi.Yalikuwa machanga sana.Niliharisha baada ya lisaaa tu hadi nikaishiwa nguvu.Huku brother wangu katika familia anamiliki mabasi ya kwenda mikoani.Basi kama Bahati nikakutana na mwalimu wangu wa Maths alivoniona na anaijuwa familia nnayotokea wana uwezo alidondosha chozi akanitia ten nilimuona ye ndo malaika.