Njaa haina adabu, uliwahi kukamatwa na njaa kisawa sawa na uliituliza vipi ?

Siku bwana nikiwa na miaka kama minne hivi. Nimdamka zangu usubuhi usubuhi nataka kwenda kukojoa. Nimeamka na njaa sii nikaona chupa ya sprite bwana ipo kwenye corrido nikajua mwanafamilia kaacha. Chap kwa hara nikapiga fundo. Duh! Kumbe mshinze mmoja alikuwa kakojolea mule ndani bwana.
 
Kwa kisa chako kisicho na miguu, imenibidi kubofya avatar yako kwa taarifa zaidi [emoji848]
 
Njaa ya usiku sitaisahau inauma alafu hakuna msosi usiku unakuwa mrefu sana[emoji3]
 
Watu wamepitia mengi sana, ushawahi kufikiria mtu ana njaa hadi anajifunga jiwe kwenye tumbo au analala kifudifudi ili abinye tumbo usiku upite au yale makoko ya ugali yanalowekwa maji ili kesho asubuh iwe ndo breakfast...
 
Watu wamepitia mengi sana, ushawahi kufikiria mtu ana njaa hadi anajifunga jiwe kwenye tumbo au analala kifudifudi ili abinye tumbo usiku upite au yale makoko ya ugali yanalowekwa maji ili kesho asubuh iwe ndo breakfast...
[emoji26][emoji26][emoji24][emoji24]. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Niliwahi Kaa siku 4 nakula mara moja kwa siku bila kushiba, sababu ya kukosa hela, jioni nakunywa maji mengi ili njaa isiume usiku, usiku wa manane nilipata kichefuchefu cha njaa nikawa natapika maji.
 
Daah qmmk [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaishiwa nguvu, unatetemeka na unaweza kuanguka kabisa.

Ukinywa maji njaa inaongezeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…