Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yarraby ameen..Ya Allah ya Allah ya Allah tusamehe mazambi yetu na tuokoe na kila baya kwetu
Wengine wanajiuzuru wenyewe...... Sijui shida nini mkuu??Wakuu wa wilaya wanajua ukweli lakini lazima waogope msamiati mgumu kutamka "NJAA"
Wanaongea wakiwa chumbani wamelalaa au ndotoni
AmeenNjaa inauma chunga usichinje nyau njaa inauma umezoea kitimoto eeh njaa inaumaaa RIP Mr. Ebo
Na wewe uza hiyo simu yako wapelekee pesa ulizopataLkn si haba jaribu hilo kwanza utakapoishia wengine wataendeleza!
hivi nikitu gani kinafanya huko kuwe na njaa kali kipindi hikiKuna taarifa kutoka liwale mkoani lindi wamekumbwa na balaa la njaa, mpaka wanashindia mizizi poli, chanzo azam tv lakini mpaka sasa kitengo cha maafa kutoka of is I ya waziri mkuu awajathibitisha...!!![]()
![]()
![]()
![]()
Nani kawaruhusu mtangaze njaa?
Tanzania hakuna njaa serikali Ina Tani 1.5m za chakula.
Hivi Tanzania kuna famine? hunger? food crisis? tumesikia wanasiasa walio madaraka na wapinzani wao; viongozi wa kiroho nk wakigongana kauli juu ya hii kitu . ukienda sokoni mahindi yapo tu lakini economic access ya watu kwa hayo mahindi ikoje? Dr padre Sawio wa UDSM njoo utatue kuna njaa au hakuna?Sio la kuomba tuombe sana mwenyezi mungu atunusuru