Njaa mbaya sana; Ni jambo gani la hatari uliwahi fanya ulipokumbwa na njaa?

Aisee hii noma sanaa maana hiyo sio location ya kukuta hela imedondoka kabisaa
 
Bora yako ulikuwa na tumaini pesa ipo, hata kukopa ungeweza. ila kasheshe pesa huna na huna ratiba ya kuipata karibuni halafu njaa inakubabua.
Kweli mkuu lakini bado ile njaa ikiyonishika acha tuu. Mchele mbichi umelowekwa halafu nikaweka na sukari maji yake pia nikanywa.

Situation za njaa zimenipata nyingi ila sio kwa kusema nilikuwa sina option kabisa hapana namshukuru Mungu kwa hilo. Sema mimi naogopa sana kukopa ni mara mia nikae njaa ila sio kukopa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishikwa na njaaa mda wa kujampa nikaweka mkono matakoni Kisha nikanusa ili angalau niufurahishe moyo
 
Mipango ya Mungu sio sawa na ya mwanadamu, kwenye furaha, kwenye huzuni, Mungu anatupenda

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Eti mtu anaenda ATM siku 3 wakati bank zimejaa tele Dsm
Hizo bank utaenda kwa mguu?? Kutoka Sinza Vatican atlist nearest bank ni pale Millenium tower na ndio kuna ATM na makumbusho ukiachana na hizo za kijiweni na Africasana, je unaweza tembea umbali huo vatican hadi makumbusho??? Let say bank nyingine karibu ipo Shekilango na ndio kuna ATM from kijiweni, utatembea kwa mguu??
Tatizo lenu JF ni kujifanya mnajua judging kila kitu na kuona kila anayeleta mkasa ni mwongo. Au mkuu unafikiri Dar ni kama pale kijijini kwenu unafika popote unapotaka kwa kutembea??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba ni kabla ya 2008?
 
Nilizimia nikalazwa
 
Siwezi sahau SUA 2008 nikiwa mwaka 2 nilipojifanya mjanja kutokuandika wala kupeleka jina langu kama ninaendelea mwaka 2 ili walipeleke loan board. Hahaaaa, nilishindia Maji na Indi kwa siku 3 na jamaa wakanichoka wakawa wananinyanyasa kuniwezesha msosi na nauli toka Hosteli to Mazimbu. Vibanda vya mama ntilie madawa, madeni ya msosi kila kona. nilijifanya mgumu na sikutaka sema nyumbani hadi hali ilipokuwa ngumu nilipoanza shindia muhindi na maji, siendi vipindi kwani sina nauli. Ikabidi niwe muwazi kwa sister na mzee wangu. Uzuri sister alikuwa anaishi Kihonda nami nilikuwa naishi hostel za Kihonda Maghorofani. Uncle akawa ananiletea poti lenye msosi kila jioni na mzee kuanza nitumia pesa za matumizi semister nzima. Semister ile nilikuwa na sup 4 na moja ya "Fundamental of Soil Science" ya SHAYONGOI nikaenda piga "third attempt". R.I.P Mzee Swai, ulijitahidi kunijenga na kunisomesha mwanao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ex wako mtu sana. Inaonekana hamkuachana kwa kinyongo. Ninashawishika kukushauri umuweke kwenye mipango yako ya muda mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…