Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Mi niliibiwa vitumbua vyangu sebuleniHivi unawezaje kuiba tablet ( kishikwambi).. chenye thamani ya laki na tisini na tano...na ukiiba unaenda kuuza shilingi ngapi?
[emoji1787][emoji1787]Mi niliibiwa vitumbua vyangu sebuleni
Nimecheka kifara sana,Watu wanaiba hadi paka [emoji1544]
Hivi unawezaje kuiba tablet (kishikwambi) yenye thamani ya laki na tisini na tano? Ukiiba unaenda kuuza shilingi ngapi?