Njaa yazidi kuitafuna Kenya, shule 17 Baringo zafungwa kutokana na ukosefu wa Chakula

Njaa yazidi kuitafuna Kenya, shule 17 Baringo zafungwa kutokana na ukosefu wa Chakula

Bado unaleta ripoti za zamani wakati tayari shule zimefungwa kwa njaa huko kwenu?, kubali kwamba Kenya ni shithole country, mwaka Jana tu mlipata mvua za kutosha, vipi njaa imeanza kuwatandika mapema sana?, sisi huku tuna chakula cha ziada, njooni mchukue from your big brother.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaa haaa haaa
kwa AKILI ndogo unaamini Somalia ina unafuu.
teh teh teh tihiii
Watanzania katika ubora wao, kwenye kila suala linalohusu nchi yao, ya 'asali na maziwa', kwenye ndoto. Udikteta, ufujaji wa hela za umma, haki za kibinadamu, demokrasia, uhuru wa kujieleza na uhuru wa wanahabari, umasikini, utapia mlo, jibu kama kawa ni;
035ostrich_468x538.jpg
 
Watanzania katika ubora wao, kwenye kila suala linalohusu nchi yao, ya 'asali na maziwa', kwenye ndoto. Udikteta, ufujaji wa hela za umma, haki za kibinadamu, demokrasia, uhuru wa kujieleza na uhuru wa wanahabari, umasikini, utapia mlo, jibu kama kawa ni;
035ostrich_468x538.jpg
Pata maumivu kidogo, njaa inazidi kuwaumiza na huku kwenye infrastructure tunawazidi "seven times".
Dar, Uganda overtake Kenya in infrastructural projects : The Standard

Hahahaha, lazima mtasalim amri mwaka huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania katika ubora wao, kwenye kila suala linalohusu nchi yao, ya 'asali na maziwa', kwenye ndoto. Udikteta, ufujaji wa hela za umma, haki za kibinadamu, demokrasia, uhuru wa kujieleza na uhuru wa wanahabari, umasikini, utapia mlo, jibu kama kawa ni;
035ostrich_468x538.jpg

Ahaaa haaa haaa
umesahau insecurity na alshabab.
teh teh teh tihiii
 
Data kutoka UNICEF, nadhani mashirika kama hayo ndio huwa yanawalisha wasomali. Kama unaona ni hujuma kawafate Twitter au kwenye page yao ya FB na vitu kama hivo. Don't kill the messenger.

Ahaaa haaa haaa
you (the messenger) are already dead. nutrients ambazo Somalia wanazo zimetoka wapi? wakati HATA chakula hawalimi. wanangojea msaada.
pale usipochanganya za kwako na za kuambiwa. unakuwa zuzu.
 
Back
Top Bottom