Njaa yazidi kuitafuna Kenya, shule 17 Baringo zafungwa kutokana na ukosefu wa Chakula

Njaa yazidi kuitafuna Kenya, shule 17 Baringo zafungwa kutokana na ukosefu wa Chakula

Ni bora ukaonekana maskini ikiwa una Kipato kuliko kuonekana Tajiri machoni pa watu ihali u fukara,
Ndio kinachoendelea kenya,
Nchi ya Hovyo kabisa kuwahi Kutokea.
Hata wakenya wenyewe wamechoshwa na ujinga wa serikali yao, Mara wanataka kubadili katiba, ghafla shake hand ikajitokeza, Mara kelele za BRT, Mara Play Kenyan music, sasa inaanza njaa, hakuna hata kimoja wanachokamilisha zaidi ya kujisifia mambo ya hovyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msuluishe mambo ya kishetani mwanzo ya kuwauwa watoto wachanga na watu wanaoishi na albinism kabla hujawika humu jf.......

Chakula ni hitaji la msingi (basic need),
Mtu anapokosa hitaji la msingi anakuwa na chances kubwa za Kupata cognitive disorders,
Kama vile wewe ulivyo malnutritioned.
 
Msuluishe mambo ya kishetani mwanzo ya kuwauwa watoto wachanga na watu wanaoishi na albinism kabla hujawika humu jf.......

Huo ni ujinga binafsi mkuu,kwani wewe kama unaamini kulala na maiti ni chanzo cha utajiri ni wakenya wote wanafikiri hivi???

Tunafanyaje kuutibu utaahira wako huu utakaokutwa nao kama si kukushangaa!!!
 
Hapo utamuona Mkeiii yupo CBD anatumia WiFi ya bure uku anasubili time aludi kibera afu wanapiga story "aisee we are ahead in EAC, our GDP is bigger, we are MDC"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stunting_1995-2007.png
Stunted growth ambayo inasababishwa na ukosefu wa lishe bora. Hivi hamuonagi aibu, Tz, nchi yenye rotuba na mvua ya kutosha, ikiekwa kwenye kikapu kimoja na Somalia, nchi ambayo imekuwa kwenye vita kwa miaka mingi? Alafu mnajifananisha na Kenya, nchi kame kwa zaidi ya 70%, na ambayo kwenye lishe bora imewazidi!
Chakula ni hitaji la msingi (basic need),
Mtu anapokosa hitaji la msingi anakuwa na chances kubwa za Kupata cognitive disorders,
Kama vile wewe ulivyo malnutritioned.
 
Utapia mlo/malnutrition, mmeizidi hata Somaaliyah. Aisee! [emoji15] Hizi takwimu zote ni kutoka kwa UNICEF.
Stunting-UNICEF-map-JME2018-June-1.png

Ahaaa haaa haaa
kwa AKILI ndogo tu unaamini Somalia ina unafuu.
teh teh teh tihiii
 
Ahaaa haaa haaa
kwa AKILI ndogo tu unaamini Somalia ina unafuu.
teh teh teh tihiii
Data kutoka UNICEF, nadhani mashirika kama hayo ndio huwa yanawalisha wasomali. Kama unaona ni hujuma kawafate Twitter au kwenye page yao ya FB na vitu kama hivo. Don't kill the messenger.
 
Stunting_1995-2007.png
Stunted growth ambayo inasababishwa na ukosefu wa lishe bora. Hivi hamuonagi aibu Tz, nchi yenye rotuba na mvua ya kutosha, ikiekwa kwenye kikapu kimoja na Somalia, nchi ambayo imekuwa kwenye vita kwa miaka mingi? Alafu mnajifananisha na Kenya, nchi kame kwa zaidi ya 70%, na ambayo kwenye lishe bora imewazidi!
Bado unaleta ripoti za zamani wakati tayari shule zimefungwa kwa njaa huko kwenu?, kubali kwamba Kenya ni shithole country, mwaka Jana tu mlipata mvua za kutosha, vipi njaa imeanza kuwatandika mapema sana?, sisi huku tuna chakula cha ziada, njooni mchukue from your big brother.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom