Kama kimekufa lkn unakesha kujadili maitiMnajihami 😂 chama kishajifia siku nyingiiii laana ya JPM inawatafuna saizi mnajiuma wenyewe.. wananchi ndo wataamini sasa kwamba hakuna mpinzani wa kweli tz🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kimekufa lkn unakesha kujadili maitiMnajihami 😂 chama kishajifia siku nyingiiii laana ya JPM inawatafuna saizi mnajiuma wenyewe.. wananchi ndo wataamini sasa kwamba hakuna mpinzani wa kweli tz🤣
Na wewe unamtukana mboweMnyika angeanza kwanza na kina Ntobi, MMM, Boniyai na Yericko. Hao wanatukana yeyote atakayempinga Sultani Mbowe na hawachukuliwi hatua. Haihitaji kuwa Sheikh Yahya kujua kwamba ngumi zitapigwa kwenye uchaguzi wenu. Mimi naona mpigane tu.
1. Walawi 11:7-8MC chakula ni kidogo tangaza kuwa tumechinja nguruwe ili waislam wapungue
Hawa jamaa kumbe ni wapumbavu sana. Kwa Chama gani na kwa kitisho gani Hadi mfumo uingilie kati hapo?!!!!!Malalamiko F.C
This is preemptive.
Yaani wanajua kwamba tayari kuna mpasuko kati ya Kundi Lissu na Genge Mbowe.
Haya makundi yamo hata hapa J.F
Itoshe kusema, makundi na magenge haya- wananyukana kwa maneno humu J.F na sasa wanaenda kunyukana kwa mikono mitaani!
Joni Mnyika anayjua hayo ila ili kuficha aibu mbele ya wanachama wake, Wananchi, na Dunia nzima, wameanza kuwasingizia Mfumo.😂😂😂🔥
Uzeni sera, sio kulalama tu kila siku kuwa mnaonewa huku mnaonekana mnanenepeana na Ruzuku.🤯
This is just another tactile...take action against CCM. Its an attack to prevent a suspected(though very doubtful)imminent attack.
Ccm wameshinda kwa %99 serikali za mitaa Lkn hawana amani😁😁😁
So far chama kimeisha ipata ,imeissha iyo ,chadema sio nyepesi watu waionavyo ,zitatembea code mpaka hao watakao kucheza mchezo mchafu watabaki kama mbwa koko, ni imani yangu hii imeishaLakini fahamu pia kuwa kujuwa njama na kuzitoa, haitoshi.
Ni lazima mjipange vizuri kuzizuia njama hizo.
Ombeni michango ya mawazo namna nzuri ya kuwabana hao wenye njama wasiwavuruge.
Mimi mchango wangu ni huu:
Kwa kila mkusanyiko wa wanachama wenu na viongozi, ni lazima pawepo na watu wenu maalum wanaojuwa kinacho endelea kwenye mikusanyiko yenu yote.
Wawepo watu wanao tambulika waziwazi kuwa wanafanya kazi hiyo kwenye mikutano, na pia pawepo na timu" ninja" isiyo tambulika.
Silaha kuu ya hawa wote ni kamera za simu zao. Kila atakaye anza vurugu ni lazima aonekane na kumbukumbu iwepo ya tukio husika.
Msifanye mzaha, kubeza au kudharau. Hali upande wa pili ni ngumu zaidi kwa hiyo watataka kupata ahueni ikiwezekana kuhamishia baadhi ya matatizo yao kwenu.
Kulaaniwa yeye aliyatanani kuitanguliza cdm shimoni anatangulia yeyeMnajihami 😂 chama kishajifia siku nyingiiii laana ya JPM inawatafuna saizi mnajiuma wenyewe.. wananchi ndo wataamini sasa kwamba hakuna mpinzani wa kweli tz🤣
Allah Akbar!1. Walawi 11:7-8
"Nguruwe, kwa sababu ana kwato zilizogawanyika, lakini hacheui, huyo ni najisi kwenu. Nyama yao msile, wala mizoga yao msiguse; hao ni najisi kwenu."
2. Kumbukumbu la Torati 14:8
"Nguruwe, kwa sababu ana kwato zilizogawanyika, lakini hacheui, huyo kwenu ni najisi; nyama yao msile, wala mizoga yao msiguse."
Unawakumbuka waliomrejesha Lipumba CUF?Hawa jamaa kumbe ni wapumbavu sana. Kwa Chama gani na kwa kitisho gani Hadi mfumo uingilie kati hapo?!!!!!
Kwamba Mfumo huo ni wa Mbowe?Mtoa mada tunakujua ni chawa wa Mbowe
Hilo Jina CCM wakilisikia tu, kila kitu huwaponyoka toka mikononi hadi kichwani. Sijui ni kwa nini watawala na machinery zao wanamuogopa sana huyu mwamba? Marisasi yalimshindwa kwa muujiza wa Mungu, sasa bado wanaye tu na wanapuyanga naye. Sijui watamuacha lini aendelee kupumua kama wao?Tundu lissu anatosha na ndo mwenyekiti wa chadema
🚮Mnajihami 😂 chama kishajifia siku nyingiiii laana ya JPM inawatafuna saizi mnajiuma wenyewe.. wananchi ndo wataamini sasa kwamba hakuna mpinzani wa kweli tz🤣
We unawajua wanaombakisha mbowe chadema na kumhifadhi lissu ulaya?!!!!Unawakumbuka waliomrejesha Lipumba CUF?
Si unawaona hao wanafata🤣Kulaaniwa yeye aliyatanani kuitanguliza cdm shimoni anatangulia yeye
Pamoja na kupelekewa malalamiko rasmi ya kuwepo kwa njama za Lissu kuuawa, Polisi wamesema Lissu ni raia wa kawaida hivyo hawawezi kumpa ulinzi.Wasamalia wema wamevujisha Taarifa hii kwa Katibu Mkuu wa Chadema, Kwamba Watu wa Mfumo wametumwa kuvuruga Uchaguzi wa Chadema kwa faida ya Mamluki anayewatuma
Taarifa kamili hii hapa
Nimepata taarifa kuwa mfumo unapanga kufanya vurugu kwenye matukio ya Chama au wanachama wakati huu wa mchakato wa uchaguzi wa ndani. Lengo ni kutengeneza taswira kuwa wagombea wanaoshindana wamefikia hatua ya wafuasi wao kupigana.
Viongozi na wagombea mchukue tahadhari za kiulinzi na kiusalama. Wakati huo huo narudia kuwahimiza kila mmoja kuzingatia maadili na miongozo ya Chama katika kipindi hiki.
Kumbukeni kuwa Chadema imepevuka kutoka kuwa Chama cha wanachama na kuwa taasisi ya umma.Watanzania wana imani na matumaini na Chadema. Kila mmoja ashiriki kuilinda taasisi hii ikiwa ni chombo cha Demokrasia, Haki, Uhuru, Mabadiliko, Utu na Maendeleo ya Watu.
View attachment 3180602View attachment 3180603
Ujumbe: Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Kila kambi, ya Ayatollah Mbowe na Mropokaji Lissu inajaribu kujihami kwa kisingizio Cha system kuharibu uchaguzi! Ahahahahaha!! Mbinu ya kitoto hata uchaguzi wa monitor wa darasa hawezi kuutumia! Ahahahahaha!!!Wasamalia wema wamevujisha Taarifa hii kwa Katibu Mkuu wa Chadema, Kwamba Watu wa Mfumo wametumwa kuvuruga Uchaguzi wa Chadema kwa faida ya Mamluki anayewatuma
Taarifa kamili hii hapa
Nimepata taarifa kuwa mfumo unapanga kufanya vurugu kwenye matukio ya Chama au wanachama wakati huu wa mchakato wa uchaguzi wa ndani. Lengo ni kutengeneza taswira kuwa wagombea wanaoshindana wamefikia hatua ya wafuasi wao kupigana.
Viongozi na wagombea mchukue tahadhari za kiulinzi na kiusalama. Wakati huo huo narudia kuwahimiza kila mmoja kuzingatia maadili na miongozo ya Chama katika kipindi hiki.
Kumbukeni kuwa Chadema imepevuka kutoka kuwa Chama cha wanachama na kuwa taasisi ya umma.Watanzania wana imani na matumaini na Chadema. Kila mmoja ashiriki kuilinda taasisi hii ikiwa ni chombo cha Demokrasia, Haki, Uhuru, Mabadiliko, Utu na Maendeleo ya Watu.
View attachment 3180602View attachment 3180603
Ujumbe: Shetani hajawahi kumshinda Mungu