Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika ?!MGONJWA ANAPEWA UJI ILA MKALI HUYOOO🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 KIDOGO TU ANATISHIA KUJIUA SAIZI HATUSTUKI TUPO ZETU SEBLENI TUNAJINYWEA GAKHAWAA🤣 MNAJITEKENYA NA KUCHEKA WENYEWE KAMA VICHAA WALOOMA JALALA JIPYA
We mpuuzi JPM alikuwa mungu wako?Mnajihami 😂 chama kishajifia siku nyingiiii laana ya JPM inawatafuna saizi mnajiuma wenyewe.. wananchi ndo wataamini sasa kwamba hakuna mpinzani wa kweli tz🤣
Lakini fahamu pia kuwa kujuwa njama na kuzitoa, haitoshi.Nimepata taarifa kuwa mfumo unapanga kufanya vurugu kwenye matukio ya Chama au wanachama wakati huu wa mchakato wa uchaguzi wa ndani.Lengo ni kutengeneza taswira kuwa wagombea wanaoshindana wamefikia hatua ya wafuasi wao kupigana. Viongozi na wagombea
Kikubwa uongozi akiwemo mnyika mwenyewe akutane mara kwa mara na wagombea Ili kuelekezana mambo ya kufanya Ili kuepusha vurugu, pia mnyika awaombe wagombea kuongea na wafuasi wao kuepusha lugha za matusi, kejeli na kashfa dhidi wa wagombea wenzao ndani ya chamaWasamalia wema wamevujisha Taarifa hii kwa Katibu Mkuu wa Chadema, Kwamba Watu wa Mfumo wametumwa kuvuruga Uchaguzi wa Chadema kwa faida ya Mamluki anayewatuma
Taarifa kamili hii hapa
Nimepata taarifa kuwa mfumo unapanga kufanya vurugu kwenye matukio ya Chama au wanachama wakati huu wa mchakato wa uchaguzi wa ndani. Lengo ni kutengeneza taswira kuwa wagombea wanaoshindana wamefikia hatua ya wafuasi wao kupigana.
Viongozi na wagombea mchukue tahadhari za kiulinzi na kiusalama. Wakati huo huo narudia kuwahimiza kila mmoja kuzingatia maadili na miongozo ya Chama katika kipindi hiki.
Kumbukeni kuwa Chadema imepevuka kutoka kuwa Chama cha wanachama na kuwa taasisi ya umma.Watanzania wana imani na matumaini na Chadema. Kila mmoja ashiriki kuilinda taasisi hii ikiwa ni chombo cha Demokrasia, Haki, Uhuru, Mabadiliko, Utu na Maendeleo ya Watu.
View attachment 3180602View attachment 3180603
Ujumbe: Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Huu uvaaji wa bullet proof unatumia ujumbe mkubwa Sana duniani, kwanza usalama wake ni zeroLissu keshaanza tabia ya kuvaa bullet proof ingawa kichwa kiko wazi😁
Upuuzi ni mwingi sana kipindi hiki uchaguzi wa chadema mambo yanaonekana hadharani tulikuwa tunapigia kelele kila siku hakuna upinzani ila kuna wachumia tumbo bila mfumo kuingilia!Wasamalia wema wamevujisha Taarifa hii kwa Katibu Mkuu wa Chadema, Kwamba Watu wa Mfumo wametumwa kuvuruga Uchaguzi wa Chadema kwa faida ya Mamluki anayewatuma
Taarifa kamili hii hapa
Nimepata taarifa kuwa mfumo unapanga kufanya vurugu kwenye matukio ya Chama au wanachama wakati huu wa mchakato wa uchaguzi wa ndani. Lengo ni kutengeneza taswira kuwa wagombea wanaoshindana wamefikia hatua ya wafuasi wao kupigana.
Viongozi na wagombea mchukue tahadhari za kiulinzi na kiusalama. Wakati huo huo narudia kuwahimiza kila mmoja kuzingatia maadili na miongozo ya Chama katika kipindi hiki.
Kumbukeni kuwa Chadema imepevuka kutoka kuwa Chama cha wanachama na kuwa taasisi ya umma.Watanzania wana imani na matumaini na Chadema. Kila mmoja ashiriki kuilinda taasisi hii ikiwa ni chombo cha Demokrasia, Haki, Uhuru, Mabadiliko, Utu na Maendeleo ya Watu.
View attachment 3180602View attachment 3180603
Ujumbe: Shetani hajawahi kumshinda Mungu
NaamHili nililitegemea
YAANI MMESHINDWANA WENYEWE MNAANZA KUSINGIZIA MFUMO ? HIYOSACCOS YA MBOWE IMESHACHOKWAWasamalia wema wamevujisha Taarifa hii kwa Katibu Mkuu wa Chadema, Kwamba Watu wa Mfumo wametumwa kuvuruga Uchaguzi wa Chadema kwa faida ya Mamluki anayewatuma
Taarifa kamili hii hapa
Nimepata taarifa kuwa mfumo unapanga kufanya vurugu kwenye matukio ya Chama au wanachama wakati huu wa mchakato wa uchaguzi wa ndani. Lengo ni kutengeneza taswira kuwa wagombea wanaoshindana wamefikia hatua ya wafuasi wao kupigana.
Viongozi na wagombea mchukue tahadhari za kiulinzi na kiusalama. Wakati huo huo narudia kuwahimiza kila mmoja kuzingatia maadili na miongozo ya Chama katika kipindi hiki.
Kumbukeni kuwa Chadema imepevuka kutoka kuwa Chama cha wanachama na kuwa taasisi ya umma.Watanzania wana imani na matumaini na Chadema. Kila mmoja ashiriki kuilinda taasisi hii ikiwa ni chombo cha Demokrasia, Haki, Uhuru, Mabadiliko, Utu na Maendeleo ya Watu.
View attachment 3180602View attachment 3180603
Ujumbe: Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Ilikuja kimakosaJe Watalii nao waje na kizuia risasi?
Watanzania gani wenye matumaini na genge la wahuni?Wasamalia wema wamevujisha Taarifa hii kwa Katibu Mkuu wa Chadema, Kwamba Watu wa Mfumo wametumwa kuvuruga Uchaguzi wa Chadema kwa faida ya Mamluki anayewatuma
Taarifa kamili hii hapa
Nimepata taarifa kuwa mfumo unapanga kufanya vurugu kwenye matukio ya Chama au wanachama wakati huu wa mchakato wa uchaguzi wa ndani. Lengo ni kutengeneza taswira kuwa wagombea wanaoshindana wamefikia hatua ya wafuasi wao kupigana.
Viongozi na wagombea mchukue tahadhari za kiulinzi na kiusalama. Wakati huo huo narudia kuwahimiza kila mmoja kuzingatia maadili na miongozo ya Chama katika kipindi hiki.
Kumbukeni kuwa Chadema imepevuka kutoka kuwa Chama cha wanachama na kuwa taasisi ya umma.Watanzania wana imani na matumaini na Chadema. Kila mmoja ashiriki kuilinda taasisi hii ikiwa ni chombo cha Demokrasia, Haki, Uhuru, Mabadiliko, Utu na Maendeleo ya Watu.
View attachment 3180602View attachment 3180603
Ujumbe: Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Masikini wanawaza kula tuWatanzania gani wenye matumaini na genge la wahuni?
Acheni kujipa umuhimu kwenye maisha ya Watanzania, Pambaneni mpate ruzuku mshibishe matumbo maisha yaendelee.
Kama nyinyi hapo Cdm hadi mnatukanana, shenzi kabisa.Masikini wanawaza kula tu