Zanzibar 2020 Njama? Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif awekewa Pingamizi

Zanzibar 2020 Njama? Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif awekewa Pingamizi

Mtoto akiliia wembe mpe!

Wameamua kuleta vurugu Zanzibar na kuua Wazanzibar, Sasa hata tone moja la damu ya Wazanzibar ikimwagika itakuwa mikononi mwao
 
Provoke them, use our secret agent to get wht they are planning to do, destroy them.

Nazidi kusisitiza ACT kuweni makini na watu mnaodhani wanawasaidia
 
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa waandishi wa habari , huku ofisa wa Tume hiyo akionekana kuwa na uso wa bashasha jambo lililoashiria kufurahia pingamizi hilo , ameendelea kusisitiza uhalali wa pingamizi jambo lililoshangaza wengi .

Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojiri .

Mbona hujaweka sababu ya pingamizi wakati ameisema wazi tarehe za kiapo ni za nyuma kabla ya kuanza zoezi? Watu wengine kama wewe hovyo kabisa.
 
ZEC wasichezee mchakato wa Uchaguzi, Tuna wazee watoto na watu wengine wengi ambao hawawezi kujilinda pindi hali ikichafuka. Tuna wajibu wa kuilinda amani iliyopo tukianzia na Tume zote mbili Bara na visiwan.
 
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa waandishi wa habari , huku ofisa wa Tume hiyo akionekana kuwa na uso wa bashasha jambo lililoashiria kufurahia pingamizi hilo , ameendelea kusisitiza uhalali wa pingamizi jambo lililoshangaza wengi .

Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojiri .
Kama Mbeligiji Lissu alipomuwekea pingamizi Magufuli, mbona hamkusema kama ni njama?
 
Wanaandaa mazingira ya umwagaji damu. Walisema nchi haitoki kwa makaratasi. Kwa dalili zilivyo ni kweli na itatoka kwa damu za watu mara hii.
 
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa waandishi wa habari , huku ofisa wa Tume hiyo akionekana kuwa na uso wa bashasha jambo lililoashiria kufurahia pingamizi hilo , ameendelea kusisitiza uhalali wa pingamizi jambo lililoshangaza wengi .

Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojiri .
Wakoloni kutoka Tanganyika bana hawaishiwi vituko!
 
Mbona hujaweka sababu ya pingamizi wakati ameisema wazi tarehe za kiapo ni za nyuma kabla ya kuanza zoezi? Watu wengine kama wewe hovyo kabisa.
kuna ukweli gani ?
 
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa waandishi wa habari , huku ofisa wa Tume hiyo akionekana kuwa na uso wa bashasha jambo lililoashiria kufurahia pingamizi hilo , ameendelea kusisitiza uhalali wa pingamizi jambo lililoshangaza wengi .

Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojiri .
Hawa jamaa no waoga sana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiapo chake ametia saini 07/07/2020 ambapo tume ilikuwa bado haijatoa fomu!
Wanasheria wa ACT kama ismail Jussa hawakuzipitia fomu zote ili kujiridhisha na usahihi wake?

Ngoja ACT watoe utetezi wao tusikie.
 
ACT hawakukumbuka kumwekea pingamizi Mwinyi?

Ile ya kimya kimya ya Membe haisaidii. Hawa ni wa kukutana nao head on!

Hawa the yaonesha wameamua kucheza na moto.

Tusiwaache hawa jamaa kututumbukiza kusiko kwema.

Tuwakemee hawa kwa umoja wetu na kwa nguvu zetu zote bila kujali vyama vyetu.

Ingependeza zaidi ma CCM wangekuwa mstari wa mbele kwenye hili kwa mustakabala wa amani na muungano wetu walioapa kuulinda kwa nguvu zote.
Ccm wanafanya michezo ya kishamba sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom