Pre GE2025 Njama: Vituo vyote vya kupigia kura Jimbo la Ngorongoro vimefutwa, ila watu bado wapo na Jimbo bado lipo

Pre GE2025 Njama: Vituo vyote vya kupigia kura Jimbo la Ngorongoro vimefutwa, ila watu bado wapo na Jimbo bado lipo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Baada ya kupiga kura za kuchagua viongozi wa TLS, Mhe. Tundu Lissu alitoa hoja inayohusu uandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa wananchi wa Ngorongoro.

Lissu amesema kwamba zaidi ya watu laki 1 wa Jimbo hilo wako mbioni kupoteza haki yao ya kupiga kura, kwa sababu Sheria za uchaguzi zinaelekeza wapige kura walipojiandikisha, walijiandikisha Ngorongoro ambako vituo vyote vimefutwa, wanatakiwa wahamie msomera Handeni ambako hawatapiga kura kwa vile hawakujiandikishia huko na wala siyo kwao.

Cha kushangaza Jimbo la ngorongoro bado lipo na watu wake wapo na linaye mbunge hadi sasa.

 
Cha kushangaza Jimbo la ngorongoro bado lipo na watu wake wapo na linaye mbunge hadi sasa.
Huyo mbunge ni wa CCM na hakuna kinacho mstua?
Viongozi wengine kwenye eneo hilo hayawahusu haya, au wote wamekwisha hamia Handeni?

Naona kuondoa huduma kwenye eneo hilo ndiyo mbinu sasa ya kuwalazimisha wahame. Shule vipi bado zipo zinafanya kazi?
 
Wao wanadai hata Nyerere alifanya hivyo, kuwahamisha watu na kuwapeleka vijijini kwenye operation vijiji vya ujamaa.
Sasa kwa sababu Nyerere alifanya, wao hiyo ni amri sio ombi.
 
Hili ndilo angalizo la kwanza kabisa ambalo Tundu Lissu amewapa Viongozi wapya wa TLS.

Lissu amesema kwamba zaidi ya watu laki 1 wa Jimbo hilo wako mbioni kupoteza haki yao ya kupiga kura, kwa sababu Sheria za uchaguzi zinaelekeza wapige kura walipojiandikisha, walijiandikisha Ngorongoro ambako vituo vyote vimefutwa, wanatakiwa wahamie msomera Handeni ambako hawatapiga kura kwa vile hawakujiandikishia huko na wala siyo kwao.

Cha kushangaza Jimbo la ngorongoro bado lipo na watu wake wapo na linaye mbunge hadi sasa.

View attachment 3060053
Mkuu nazani huwajui wamasai wewe, Huwajui kabisaaa, Wamasai sio wayu wa kutetea kabisa kabisa na Chadema inatumia nguvu kubwa sana kuteymtea watu wasio staili kutetewa.

Pale Ngorongoro ukafanyika uchaguzi huru na wa haki CCM inashinda asubuhi sana, Wamasi sio watu wa kuwatetea hawaaminini hata kidogo na kubadilika ni swala la sekunde.
 
Kwa hili la kuwanyanyasa wamasai Simuungi mkono Samia, abadan.
Ila maswala mengine unaunga mkono? Kwa kifupi Samia hafai hafai na yuko kwa ajili ya kuuza hii nchi. Ila Wamasai nao sio watu wa kuwatetea ni wajinga sana wale nawajua sana.Katika watu wasio stahili kutetewa nchi hii basi ni wamasai.
 
Mkuu nazani huwajui wamasai wewe, Huwajui kabisaaa, Wamasai sio wayu wa kutetea kabisa kabisa na Chadema inatumia nguvu kubwa sana kuteymtea watu wasio staili kutetewa.

Pale Ngorongoro ukafanyika uchaguzi huru na wa haki CCM inashinda asubuhi sana, Wamasi sio watu wa kuwatetea hawaaminini hata kidogo na kubadilika ni swala la sekunde.
Tunaendelea kuwaamsha polepole
 
Ila maswala mengine unaunga mkono? Kwa kifupi Samia hafai hafai na yuko kwa ajili ya kuuza hii nchi. Ila Wamasai nao sio watu wa kuwatetea ni wajinga sana wale nawajua sana.Katika watu wasio stahili kutetewa nchi hii basi ni wamasai.
Usichanganye uhuru wa mpigakura kuchagua kiongozi anayemtaka, na haki ya wamasai kuishi eneo walipozaliwa na kukulia, na walipowazika bibi na mababu zao.

Wamasai kuchagua CCM sio ujinga, ni maamuzi yao usiwaingilie, kama ambavyo hayupo mmasai aliyewahi kuingilia uhuru wako wa kuichagua Chadema.

Hapo Lissu alichofanya ni kupigania haki ya kupiga kura kwa wamasai, hafanyi hilo ili kusudi wamasai waichague Chadema kwasababu hakuna popote alipotamka hivyo.

Pale ambapo wamasai watarudishiwa haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka, ndipo Lissu na wenzake wataenda Ngorongoro kuwashawishi wamasai waichague Chadema.

Sifa moja kuu ya mwanasheria yeyote ni kuwa impartial, ana jukumu la kupigania haki za wote wanaoonewa kisheria bila kujali itikadi, kabila, rangi wala jinsia zao, hapo amezungumza akiwa kavaa koti la wanasheria, hana magwanda ya khaki.
 
Usichanganye uhuru wa mpigakura kuchagua kiongozi anayemtaka, na haki ya wamasai kuishi eneo walipozaliwa na kukulia, na walipowazika bibi na mababu zao.

Wamasai kuchagua CCM sio ujinga, ni maamuzi yao usiwaingilie, kama ambavyo hayupo mmasai aliyewahi kuingilia uhuru wako wa kuichagua Chadema.

Hapo Lissu alichofanya ni kupigania haki ya kupiga kura kwa wamasai, hafanyi hivyo ili kusudi wamasai waichague Chadema kwasababu hakuna popote alipotamka hivyo.

Pale ambapo wamasai watarudishiwa haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka, ndipo Lissu na wenzake wataenda Ngorongoro kuwashawishi wamasai waichague Chadema.
✅✅✅
 
Back
Top Bottom