Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii hapa ni Taarifa ya Katibu Mkuu wa Chadema aliyoisambaza kote Duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani ya ccm wewe ni kama dagaa mchele, hujui loloteMmeanza 🐼😂
Huyo akishabugia visungura vyake vikipanda kichwani naye anajiona ni mmojawapo wa watawala.Ndani ya ccm wewe ni kama dagaa mchele, hujui lolote
Huyu ndio Mufti mtarajiwa Simbilisi wewe 🐼Ndani ya ccm wewe ni kama dagaa mchele, hujui lolote
Anachonifurahisha ni kwamba Hana Aibu, yuko kama WanyamaHuyo akishabugia visungura vyake vikipanda kichwani naye anajiona ni mmojawapo wa watawala.
1995 nilikuwa mmoja wa wanaccm wachache tulioitwa na Mwalimu Nyerere kuzungumzia hatima ya Mgombea Ubunge Wetu Jimbo la Iringa Mjini Dr Kitine baada ya Mfamasia na Mwalimu wangu wa Kemia Mfalamagoha Kibassa wa NCCR mageuzi kuwa anaongoza Kwa kuraHuyo akishabugia visungura vyake vikipanda kichwani naye anajiona ni mmojawapo wa watawala.
Hiyo inahusiana nini na kuenguliwa kwa Wagombea wa Chadema?Yaani mshindwe kujiandaa na uchaguzi mje mtulilie hapa. Mbowe anashinda mahotelini Dubai, Lissu anakula raha Nairobi na Ubelgiji, wote wanatumia hela ya ruzuku. Makala na Nchimbi kila siku wako saiti wanasaka kura
Wanyama ni Bilionea hatari hapo Kariakoo mumeo Moto Chini hamsogelei na hako kadesderia japo wote ni Wakinga 😂Anachonifurahisha ni kwamba Hana Aibu, yuko kama Wanyama
Mbuzi hanenepi siku ya mnadaHiyo inahusiana nini na kuenguliwa kwa Wagombea wa Chadema?
Tundu Lisu ameshakiri Chadema haina Wagombea wenye SifaHiyo inahusiana nini na kuenguliwa kwa Wagombea wa Chadema?
Punguani jingine hili hapa!!Yaani mshindwe kujiandaa na uchaguzi mje mtulilie hapa. Mbowe anashinda mahotelini Dubai, Lissu anakula raha Nairobi na Ubelgiji, wote wanatumia hela ya ruzuku. Makala na Nchimbi kila siku wako saiti wanasaka kura
SENTESI YA MWISHO NI YA KIJINGA HAIJAWAHI KUTOKEA HAPA DUNIANI ETI MSITULAUMU KWA YATAKAYOTOKEA? HIVI CHADEMA MLISHAGA FANYA NINI MPAKA TZ IKAWALAUMU? MNA KIPI CHA KUITISHIA TANZANIA ? SHAME APON YOU BOYS AND GIRLS
Kama mnakubalika si waacheni ili muwashinde kwenye box!Mbuzi hanenepi siku ya mnada
Kila siku siyo JumapiliSENTESI YA MWISHO NI YA KIJINGA HAIJAWAHI KUTOKEA HAPA DUNIANI ETI MSITULAUMU KWA YATAKAYOTOKEA? HIVI CHADEMA MLISHAGA FANYA NINI MPAKA TZ IKAWALAUMU? MNA KIPI CHA KUITISHIA TANZANIA ? SHAME APON YOU BOYS AND GIRLS
Maandishi haya sio mageni jijiniNjama za kuengua Wagombea wa Chadema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zafichuliwa
Kama mnafanyia figisu wenyewe kwa wenyewe ,si kwa wapinzani ndio balaa sasaMmeanza 🐼😂