LGE2024 Njama za kuengua Wagombea wa CHADEMA kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zafichuliwa

LGE2024 Njama za kuengua Wagombea wa CHADEMA kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zafichuliwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Punguani jingine hili hapa!!

Kama hawakujiandaa kwa uchaguzi, si uwaache wakaumbuke kwenye uchaguzi huru wa wa haki? Kwa nini uandikishe wapiga kura fake, na uwaengue kwa njama wagombea wa upinzani?
Nani kaenguliwa? Mnalala mnaota mnakuja kupost humu
 
1995 nilikuwa mmoja wa wanaccm wachache tulioitwa na Mwalimu Nyerere kuzungumzia hatima ya Mgombea Ubunge Wetu Jimbo la Iringa Mjini Dr Kitine baada ya Mfamasia na Mwalimu wangu wa Kemia Mfalamagoha Kibassa wa NCCR mageuzi kuwa anaongoza Kwa kura

Nilimwambia Mwalimu Nyerere kwamba Mwalimu Kibassa ni Mzalendo 😀😀
Mnafahamiana na Mwashambwa
 
Ndani ya ccm wewe ni kama dagaa mchele, hujui lolote
Mtalia sana kila mwaka na kila chaguzi. Binaadam akishika madaraka kumnyanganganya ni ngumu labda yule binaadam anaefikiria maisha baada yakufa ..lkn sisi tunaofikiria starehe chache za dunia kuacha ULUWA ngumu sana
 
Mtalia sana kila mwaka na kila chaguzi. Binaadam akishika madaraka kumnyanganganya ni ngumu labda yule binaadam anaefikiria maisha baada yakufa ..lkn sisi tunaofikiria starehe chache za dunia kuacha ULUWA ngumu sana
Mwisho wa ccm umefika rasmi
 
Hii hapa ni Taarifa ya Katibu Mkuu wa Chadema aliyoisambaza kote Duniani

View attachment 3146056
Hii kitu inataka ccm chini ya Mchengerwa ,itakipata , wataenda sababisha dam kumwagika , wataenda sababisha watendaji kimbia vituo vya kazi , ila kubwa wanaweza Buruzwa ICC hata kabla ya uchaguzi mwakani.

Tamaa ya madaraka kwa wachache kisa tu wapo katika mfumo wa ulaji , inaweza sambalatisha taifa. Zama zimebadilika .

Nyie watendaji wa kata na mitaa ,shutuka hao wanao watumia kesho mambo yakibadilika hawatakua upande wenu, hao wana pesa mda wowote kikinuka wanakwea pipa na kulala mbele.

viongozi katika vyombo vya usalama waonyenyi ,wambie ukweli hawa viongozi na roho zao za tamaa, watatualibia taifa, kwa kizazi cha leo na kesho.

Mungu yupo kazini
 
1995 nilikuwa mmoja wa wanaccm wachache tulioitwa na Mwalimu Nyerere kuzungumzia hatima ya Mgombea Ubunge Wetu Jimbo la Iringa Mjini Dr Kitine baada ya Mfamasia na Mwalimu wangu wa Kemia Mfalamagoha Kibassa wa NCCR mageuzi kuwa anaongoza Kwa kura

Nilimwambia Mwalimu Nyerere kwamba Mwalimu Kibassa ni Mzalendo 😀😀
"Mfalamagoha Kibassa", mfamasia 1995? Huu ni uongo ulio wazi. Hakuna mtu kama huyo! Wewe na "Kemia" wapi na wapi?
 
Hii kitu inataka ccm chini ya Mchengerwa ,itakipata , wataenda sababisha dam kumwagika , wataenda sababisha watendaji kimbia vituo vya kazi , ila kubwa wanaweza Buruzwa ICC hata kabla ya uchaguzi mwakani.

Tamaa ya madaraka kwa wachache kisa tu wapo katika mfumo wa ulaji , inaweza sambalatisha taifa. Zama zimebadilika .

Nyie watendaji wa kata na mitaa ,shutuka hao wanao watumia kesho mambo yakibadilika hawatakua upande wenu, hao wana pesa mda wowote kikinuka wanakwea pipa na kulala mbele.

viongozi katika vyombo vya usalama waonyenyi ,wambie ukweli hawa viongozi na roho zao za tamaa, watatualibia taifa, kwa kizazi cha leo na kesho.

Mungu yupo kazini
Na huu ndio ujumbe wanaotakiwa kuambiwa na kukumbushwa mara kwa mara.
 
SENTESI YA MWISHO NI YA KIJINGA HAIJAWAHI KUTOKEA HAPA DUNIANI ETI MSITULAUMU KWA YATAKAYOTOKEA? HIVI CHADEMA MLISHAGA FANYA NINI MPAKA TZ IKAWALAUMU? MNA KIPI CHA KUITISHIA TANZANIA ? SHAME APON YOU BOYS AND GIRLS
Ni hivi mkuu 'mihapase', watu kama wewe sasa ni wa kukabana nanyi tu huko huko mitaani. Tutaelewana tu; kwani Tanzania siyo mali yenu kiasi kwamba muing'ang'anie kama mnavyo fanya sasa.
Safari hii hamponi.
 
"Mfalamagoha Kibassa", mfamasia 1995? Huu ni uongo ulio wazi. Hakuna mtu kama huyo! Wewe na "Kemia" wapi na wapi?
Wakati Mbunge mstaafu wa Chadema Iringa mjini mchungaji Msigwa anatuuzia suluari za shule za Mitumba Mwalimu Wetu wa Chemistry pale The Highlands sec school alikuwa mkemia Kibasa

Baadaye walienda kuanzisha shule ya Jumuiya ya Wazazi CCM pale Mwembetogwa kabla ya kuingia Bungeni kwa ticket ya NCCR mageuzi 1995 😂
 
Back
Top Bottom