LGE2024 Njama za kuengua Wagombea wa CHADEMA kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zafichuliwa

LGE2024 Njama za kuengua Wagombea wa CHADEMA kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zafichuliwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Yaani mshindwe kujiandaa na uchaguzi mje mtulilie hapa. Mbowe anashinda mahotelini Dubai, Lissu anakula raha Nairobi na Ubelgiji, wote wanatumia hela ya ruzuku. Makala na Nchimbi kila siku wako saiti wanasaka kura
Kujiandaa kwa uchaguzi gani? Huu ushenzi unaoendelea nao unaita ni uchaguzi?
 
Basi endelea kushiriki maonyesho
Mimi kama mimi siwezi kushiriki huo upuuzi, na watu wengine wanaojitambua hawako tayari. Turnout ya waliojiandikisha inadhibitisha hilo. Na siku ya uchaguzi itakuwa ndogo zaidi.

Wakati wa uchaguzi mkuu mahudhirio yatakuwa madogo zaidi. Hivyo jiandaeni kupika idadi zaidi ya wapiga kura, lakini ukweli uko wazi peupe kuwa tumewachoka. Na hatuko tayari kujazana vituoni huku mkinajisi chaguzi, na kutumia wingi wetu vituoni kudanganya umma na dunia kuwa bado mnakubalika.
 
Hii hapa ni Taarifa ya Katibu Mkuu wa Chadema aliyoisambaza kote Duniani

View attachment 3146056
Watu wenyewewe wachaga wa kuibiwa kura kila uchaguzi? Sitaki kuamini.

Itakuwa wachaga ujanja wao wa ujambazi na lkuvamia viwanja vya watu tu, hawana kuiba kiakili?

Wanaowaibia wachaga kura nawapongeza sana.
 
Mimi kama mimi siwezi kushiriki huo upuuzi, na watu wengine wanaojitambua hawako tayari. Turnout ya waliojiandikisha inadhibitisha hilo. Na siku ya uchaguzi itakuwa ndogo zaidi.

Wakati wa uchaguzi mkuu mahudhirio yatakuwa madogo zaidi. Hivyo jiandaeni kupika idadi zaidi ya wapiga kura, lakini ukweli uko wazi peupe kuwa tumewachoka. Na hatuko tayari kujazana vituoni huku mkinajisi chaguzi, na kutumia wingi wetu vituoni kudanganya umma na dunia kuwa bado mnakubalika.
Unga wenyewe ulivyo robo, halafu mtu asuse, mbona tutanenepa
 
Mimi kinachonishangaza ni kitendo cha CHADEMA kulia rafu kila mara.

Mmekosa cha kufanya?

Kama hamuwezi siasa, basi acheni!

Kelele za nini kila mara kila mwaka?
Punguza ujinga.wewe yanayofanyika kwa akili zako ndogo unaona ni sawa au uko kwenu somo la ustarabu mlifeli wote.
 
Watu wenyewewe wachaga wa kuibiwa kura kila uchaguzi? Sitaki kuamini.

Itakuwa wachaga ujanja wao wa ujambazi na lkuvamia viwanja vya watu tu, hawana kuiba kiakili?

Wanaowaibia wachaga kura nawapongeza sana.
Mkubwa alafu mjinga.
 
Mkubwa alafu mjinga.
Mjing mimi au mjinga yule mbae kila uchagui analalamika kuibiwa kura na hajuwi namna ya kujikinga.

Mwenzenu Trump kalalamika anaibiwa kura lakini haraka kaziba mianya kashinda uchguzi, ndani ya masaa tu.

Nyie mpaka nyimbo zenu za kuibiwa zimechuja sasa.

Waongo wakubwa.
 
Hii kitu inataka ccm chini ya Mchengerwa ,itakipata , wataenda sababisha dam kumwagika , wataenda sababisha watendaji kimbia vituo vya kazi , ila kubwa wanaweza Buruzwa ICC hata kabla ya uchaguzi mwakani.

Tamaa ya madaraka kwa wachache kisa tu wapo katika mfumo wa ulaji , inaweza sambalatisha taifa. Zama zimebadilika .

Nyie watendaji wa kata na mitaa ,shutuka hao wanao watumia kesho mambo yakibadilika hawatakua upande wenu, hao wana pesa mda wowote kikinuka wanakwea pipa na kulala mbele.

viongozi katika vyombo vya usalama waonyenyi ,wambie ukweli hawa viongozi na roho zao za tamaa, watatualibia taifa, kwa kizazi cha leo na kesho.

Mungu yupo kazini
Kuna wajinga wao wanafikiri migogoro iliyoko nchi zingine haiwezi kutokea hapa hawajui kua ata hizo nchi nao walikua na maisha yao hadi pale wajinga wachache walipoamua kuyaharibu kwa mambo yakupiuuzi kama siasa zakijinga na ubadhirifu hadi watu wakashindwa kuvumilia.
 
Mjing mimi au mjinga yule mbae kila uchagui analalamika kuibiwa kura na hajuwi namna ya kujikinga.

Mwenzenu Trump kalalamika anaibiwa kura lakini haraka kaziba mianya kashinda uchguzi, ndani ya masaa tu.

Nyie mpaka nyimbo zenu za kuibiwa zimechuja sasa.

Waongo wakubwa.
Mjinga ni yule anayefananisha mambo ya Trump marekani na Tanzania wakati anajua Siasa za marekani na Tanzania ni mbingu na ardhi.Kama huna akili huwezi kuelewa.
 
Punguza ujinga.wewe yanayofanyika kwa akili zako ndogo unaona ni sawa au uko kwenu somo la ustarabu mlifeli wote.
Sasa kama hamuwezi si muache?

Kila mara vilio vya rafu. Kama mnachezewa rafu ni kwanini hamuachi kushiriki?

CHADEMA hamjielewi! Nyie mabumunda wahed!
 
4R za Mama zinafanya kazi hivyo hakutakuwepo kuwaengua wagombea bila sababu za msingi na uchaguzi utakuwa huru na haki.
 
Yaani mshindwe kujiandaa na uchaguzi mje mtulilie hapa. Mbowe anashinda mahotelini Dubai, Lissu anakula raha Nairobi na Ubelgiji, wote wanatumia hela ya ruzuku. Makala na Nchimbi kila siku wako saiti wanasaka kura
Nadhani mada Haina uhusiano na kusaka kura
Nadhani umesikia pia viongozi wa Ccm wajuu wakijutia Kile kilichofanyika 2019, na kuahidi tu kwa kinywa bila kumaanisha hakitajirudia, Ccm wanang'ang'ania madaraka sio Kwa sababu Wana kiu sana ya kuwaongoza wananchi, hapana Bali ni chaka la kujinufaisha kifisadi
 
Unapigwa mwingi ..! Mpaka Maji muyaite mma!!
===
Ukweli Mnyika amekidhorotesha Chadema. Bila Yeye Chadema ingekuwa mbali sana.
Alipaswa kufanya Nini hasa chama kisizorote? Kwamba nguvu ya Dola inayotumika kulidhiofisha mathalani kilichotokea mbeya na kilichomkuta Mzee kibao hapa mjini ni mnyika amesababisha au askari waliolipwa per diem ya 10ks na kuhamishiwa dar kucrack down legal demonstration ni mnyika alifanya hivyo! You are more than a wasted sperm
 
Demokrasia mliyokuwa mnatuambia kaimarisha mama yenu imeishia wapi?
 
Back
Top Bottom