Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #61
Usihangaike na WajingaAlipaswa kufanya Nini hasa chama kisizorote? Kwamba nguvu ya Dola inayotumika kulidhiofisha mathalani kilichotokea mbeya na kilichomkuta Mzee kibao hapa mjini ni mnyika amesababisha au askari waliolipwa per diem ya 10ks na kuhamishiwa dar kucrack down legal demonstration ni mnyika alifanya hivyo! You are more than a wasted sperm
Tatizo wamekua wengi sana na wanatumia mbinu za kijinga kwanyamazisha wenye akili na maarifa! Sasa ogopa taifa ambalo wajinga ni wengi na mambo ya kijinga Yana outshine mambo ya msingi! Sasa wajinga Hawa wakizidi kuongezeka naona wakienda kuchagua RasUsihangaike na Wajinga
Mkuki kwa nguruwe...Huu ni ubaguzi!
Hkuna asiye na akili, labda hajuwi kuzitumia tu.Mjinga ni yule anayefananisha mambo ya Trump marekani na Tanzania wakati anajua Siasa za marekani na Tanzania ni mbingu na ardhi.Kama huna akili huwezi kuelewa.
CHADEMA na Upinzani nchini Tanzania ni kama sikio la kufa ambalo halisikii dawa.
Mnatakiwa muwaeleze wananchi sera na mikakati yenu badala ya utabiri, eti mna taarifa😂😂😂
Right ungejua namna ujibuji wenu wa hoja unavyokididimiza Chama, ungekuwa umeisha tubu na kumrudia Mola wako!!! Lakini, wapi sikio....!...are more than...
Ubuyu huu....Mkuki kwa nguruwe...
Inawezekana unamzungumzia yule 'Mrusi', au siyo? Hilo jina 'Kibasa', au Mbasa?... lina shida kidogo! Lakini kumbukumbu kwa mbali naipata kuhusu huyo mtu aliye ingia Bungeni.Wakati Mbunge mstaafu wa Chadema Iringa mjini mchungaji Msigwa anatuuzia suluari za shule za Mitumba Mwalimu Wetu wa Chemistry pale The Highlands sec school alikuwa mkemia Kibasa
Baadaye walienda kuanzisha shule ya Jumuiya ya Wazazi CCM pale Mwembetogwa kabla ya kuingia Bungeni kwa ticket ya NCCR mageuzi 1995 😂
Mwalimu Kibassa sijui kwa sasa yupo wapi baada ya siasa za NCCR mageuzi Kuzidiwa na Chama Cha Mrema alipotea kabisaInawezekana unamzungumzia yule 'Mrusi', au siyo? Hilo jina 'Kibasa', au Mbasa?... lina shida kidogo! Lakini kumbukumbu kwa mbali naipata kuhusu huyo mtu aliye ingia Bungeni.
Yupo wapi sasa?