Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
BILA KUPEPESA MACHO WAVULIWE TU HUO UWAKILI.Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.
Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.
Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .
Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .
Usiondoke JF
Hii ndiyo akili unayojivunia?Unadhani Mimi ni wale mnashikiwa akili yaani Mimi nifurahie Washenzi wachache wananufaika na upigaji wa bandarini.
Mamlaka kuu.Nani huyo mwenye mamlaka ya kumvua uwakili wakili?
naona unao uwezo hata wa kujiuza na kupoteza utu wako.Nchi inahitaji pesa sio vimaneno vyenu
Ni yule yule aliemvua uwakili Wakili Fatma Karume.Nani huyo mwenye mamlaka ya kumvua uwakili wakili?
Hatuwezi kuwa na mawakili wanaovunja miiko ya kazi zao halafu tuwachekee tu hapana taratibu na hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yaoTaarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.
Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.
Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .
Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .
Usiondoke JF
Kwani kujua kuwa pale Ilala karibu na mchikichini panatengenezwa ulevi A. K. A UMWABUKUSI lazima uwe chapombe na mtovu wa adabu kama Mwabukusi na genge lake?Mlevi hua unakunywa nae pamoja ?
✍️
P Siyo kweli yaani ccm wanajuwa nini wanafanya wengine wanakulupuka tu" angalia walio toka nje wamekuja xa jipya gani walgjidai katiba mara bandari sasa mnaibiwa kura.CCM ni mdudu wanategemea polisi kuiba kura
Itakuwa vizuri, wale hawawezi kuwa mawakili inaonekana wanaumwa akili. Wale ni vichaa.Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.
Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.
Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .
Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .
Usiondoke JF
Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .[emoji419][emoji375]Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.
Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.
Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .
Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .
Usiondoke JF
aliyempatia huo uwakiliNani huyo mwenye mamlaka ya kumvua uwakili wakili?
Kwanza huu ni uzushi mnautengeneza km defence mechanism. Nyie kweli vilazaTaarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.
Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.
Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .
Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .
Usiondoke JF
Mkataba upi unaoungelea?Kuna mawakili wengi mno hiyo kesi haitokosa wa kuisimamia.
Hoja hapa ni kubadili mkataba tu au kuufuta kabisa.
Hiyo Tanganyika iko wapi? Unaota?Ni huyo huyo anayetaka kuliingiza taifa la tanganyika katika shimo lisilo na pakutokea .
Subiri zabuni zitangazwe, leo au kesho.Ila CCM ni washenzi sana
MASIKINI TANGANYIKA YALE YALE YA AWAMU YA 5Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.
Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.
Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .
Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .
Usiondoke JF
Ule wa madrasa.Mkataba upi unaoungelea?
Tusilishane matango pori.
Hiyo Tanganyika iko wapi? Unaota?
Ma shaa Allah, huo unatangazwa leo au kesho.Ule wa madrasa.