Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
- Thread starter
- #21
Sasa kama hawako tayari nini kinachowazuia Urusi kuichukua mazima Ukraine na badala yake wanaishia kuidokoa kidogo kidogo?Waukraine wenyewe wapo tayari kuendelea kupigana na kufa huko vitani ?
Note: Hiyo habari yako imehusisha idara ya usalama na jeshi, unapaswa ujibu kwa makini hili swali kwa kuzingatia hii note